Author: Charles Adika
-
-
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WASHUTUMU MARUFUKU YA UKULIMA KWENYE MISITU.
Viongozi Kaunti ya Trans-Nzoia wanaendelea kushutumu vikali Sera ya wizara ya misitu na wanyama pori kupiga marufuku ukuzaji wa chakula haswa zao la mahindi kwenye misitu maarufu shamba system wakisema […]
-
MWALIMU AKUNG’UTWA NA WANAFUNZI SABOTI TRANS NZOIA.
Mwalimu mmoja wa shule ya upili ya mseto ya Nakuto st Johns Sikinwa kwenye eneo bunge la Saboti kaunti ya Trans nzopia amerekodi taarifa baada ya kushambuliwa na watahiniwa wake […]
-
WAHUDUMU WA MAGARI WALALAMIKIA VIZUIZI VYA POLISI ORTUM.
Wahudumu wa magari ya uchukuzi ya kutoka mjini makutano kuelekea ortum kaunti hii ya pokot magharibi wamelalamikia vizuizi vingi vya polisi ambavyo vipo kwenye barabara hiyo wakitaka idara husika kuvipunguza.Wakiongozwa […]
-
KAMATI ZA KUSIMAMIA MIRADI ZATAKIWA KUIMARISHA HUDUMA BAADA YA KUSAMBAZWA FEDHA ZA CDF KACHELIBA.
Kamati ya hazina ya maendeleo ya maeneo bunge CDF eneo bunge la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi imesema kuwa imesambaza fedha zote kwa akaunti za kamati zinazosimamia miradi […]
-
-
-
-
Top News







