Author: Charles Adika
-
MASHIRIKA MBALI MBALI YAPIGA JEKI JUHUDI ZA KUIMARISHA ELIMU YA MTOTO WA KIKE POKOT MAGHARIBI.
Zaidi ya wanafunzi 300 kutoka shule mbali mbali kaunti hii ya Pokot magharibi wamenufaika na vitambaa vya hedhi kwa wanafunzi wa kike pamoja na mavazi ya ndani kwa wanafunzi wa […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAIMARISHA JUHUDI ZA KUKABILI MALARIA.
Serikali ya kaunti hii ya pokot magharibi kupitia wizara ya afya inatarajiwa kusambaza neti kwa wakazi ambao walijisajili katika juhudi za kukabali kusambaa ugonjwa wa malaria hasa msimu huu wa […]
-
-
-
-
-
MIITO YA KUPATANA RAIS KENYATTA NA NAIBU WAKE YAZIDI KUTOLEWA.
Tangazo la baraza la maaskofu kwamba liko tayari kuwapatanisha rais uhuru kenyata na naibu wake Wiliam Ruto limetajwa kuwa lenye umuhimu mkubwa katika kuleta umoja amani na utangamano wa taifa.Mshirikishi […]
-
WAKAZI WA SALAMA ENDEBES WAPOKEZWA HATI MILIKI.
Zaidi ya wanachama mia tatu kutoka shamba la salama eneo bunge la Endebes kaunti ya Trans nzoia wamepata hati miliki ya ardhi kupitia kwa serikali kuu kwenye shamba la ekari […]
-
SERIKALI YA TRANS NZOIA YAWEKA MIKAKATI YA KUKABILI MABADILIKO YA TABIA NCHI.
Wizara ya maji mazingira na mali asili katika kaunti ya Trans Nzoia imetenga bajeti ya shilingi Milioni 20 kwa upanzi wa miti na utunzaji wa mazingira kama njia moja ya […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUKUMBATIA MTAALA WA CBC.
Wadau wa elimu katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kuwahimiza wananchi kukumbatia mtaala mpya wa elimu CBC ambao wameutaja kuwa na manufaa makubwa kwani unaangazia maswala mengi na yenye […]
Top News









