Author: Charles Adika
-
-
-
MASHIRIKA NA SEFA NA NRT YAENDELEA KUWANUFAISHA WAKULIMA POKOT MAGHARIBI.
Wakulima eneo la orolwo, eneo bunge la Sigor katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamenufaika na mbegu za mimea mbali mbali kutoka kwa shirika la sefa kwa ushirikiano na lile […]
-
UONGOZI WA TRANS NZOIA WAHIMIZWA KURAHISISHA SHUGHULI YA UTOAJI VITAMBULISHO.
Shinikizo zinazidi kutolewa kwa uongozi wa Kaunti ya Trans Nzoia kurahisisha shughuli ya utoaji wa vitambulisho kwa vijana waliohitimu kupata vitambulisho eneo bunge la Endebess badala ya kuwahangaisha kwa misingi […]
-
WAKAZI BARINGO WAHIMIZWA KUKUMBATIA AMANI.
Wakazi wa kaunti ya Baringo wamehimizwa kuwa msitari wa mbele kuhakikisha kuwa amani inadumishwa katika maeneo ambayo hushuhudia visa vya wizi wa mifugo.Kamishina wa kaunti hiyo Henry Wafula amesema kuwa […]
-
POLISI WALAUMIWA KWA KUWAKAMATA KIHOLELA WAKAZI MAKUTANO.polisi
Wakazi mjini makutano kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia kile wamedai kukamatwa kiholela na maafisa wa polisi kwa madai ya kutekeleza kanuni za kukabili msambao wa virusi vya corona.Wakizungumza […]
-
-
-
KAUNTI ZA BONDE LA KERIO ZATAKIWA KUKUMBATIA AMANI.
Gavana wa Baringo Starnely Kiptis amewashauri wakaazi wa maeneo ya bonde la kerio na kaunti nyingine ambazo zinashuhudiwa wizi wa mifugo kusitisha uhasama na kuishi kwa amani.Kiptis amesema kwamba mashambulizi […]
-
UTENDAKAZI WA EUGENE WAMALWA WATETEWA NA VIONGOZI TRANS NZOIA.
Viongozi mbambali kutoka Kaunti ya Trans-Nzoia wamejitokeza na kutetea utendaji kati wa waziri wa Ugatuzi Eugine Wamalwa kufuatia shutuma kutoka kwa wabunge Dkt Chris Wamalwa na Robert Pukose wakisema amewatekelezea […]
Top News









