Author: Charles Adika
-
RAILA ATUA POKOT MAGHARIBI KATIKA KAMPENI YA AZIMIO LA UMOJA.
Na Benson AswaniKinara wa chama cha ODM Raila Odinga yuko katika kaunti hii ya Pokot magharibi katika misururu ya kampeni yake ya azimio la umoja.Raila ameanza ziara yake kwa kukutana […]
-
POGHISIO ASHUTUMU MADAI YA MAAFISA WA USALAMA KUSHIRIKIANA NA WAHALIFU.
Na Benson AswaniSeneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameshutumu vikali madai ya maafisa wa usalama ambao wamepewa jukumu la kuhakikisha usalama wa taifa kushirikiana na washukiwa wa […]
-
POLISI KANYARKWAT POKOT MAGHARIBI WALAUMIWA KWA KUWAHANGAISHA WENYEJI.
Na Benson AswaniPolisi eneo la Kanyarkwat katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelaumiwa pakubwa kwa kuwahangaisha wakazi wa maeneo hayo hasa nyakati za usiku.Mbunge wa Kapenguria Samwel Moroto amesema kuwa […]
-
WADAU WATAKIWA KUSHIRIKIANA KUKABILI MIMBA ZA MAPEMA MIONGONI MWA WATOTO WA KIKE.
Na Benson AswaniIpo haja ya ushirikiano baina ya Wazazi, Serikali , walimu pamoja na wahisani katika kukabili swala la wasichana wadogo kupachikwa mimba za mapema jambo ambalo limechangia kuongezeka kwa […]
Top News








