Author: Charles Adika
-
MVULANA MMOJA MLEMAVU ANAUGUZA MAJERAHA MABAYA KATIKA HOSPITALI YA KAPENGURIA BAADA YA KUPIGWA RISASI KWENYE MAPAJA .
NA BENSON ASWANIMvulana mmoja wa miaka kumi na tisa ambaye ni Mlemavu kutoka lokesheni ya Chesogon kaunti ya Pokot Magharibi anauguza majeraha mabaya ya hospitali kuu ya rufaa ya kapenguria […]
-
VIONGOZI MBALIMBALI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WANAZIDI KUTOA WITO WA ADHABU YA VIBOKO KUREJESHWA SHULENI.
NA BENSON ASWANIWadau mbali mbali katika sekta ya elimu nchini wameendelea kuunga mkono pendekezo la kurejeshwa adhabu ya kiboko shuleni.Wa hivi punde kuzungumzia swala hilo ni mbunge wa Kapenguria katika […]
-
WENYEJI WA AKIRIAMET ENEOBUNGE LA SIGOR WAPATA AFUENI BAADA YA KUTENGENEZEWA DARAJA LINALOUNGANISHA KAUNTI YA TURKANA NA POKOT MAGHARIBI.
NA BENSON ASWANIUkarabati wa Daraja la Akiriamet eneo Bunge la Sigor litasaidia pakubwa kuleta maendeleo kwa wenyeji ambao wamehangaika kwa muda wanapotaka kusafiriAkizungumza baada ya kufunguliwa rasmi kwa Daraja hilo […]
-
SERIKALI YAOMBWA KUINGILIA KATI KWA HARAKA NA KUHAKIKISHA HALI YA USALAMA INAIRIMARISHWA ENEI LA CHESOGON KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
NA BENSON ASWANIVisa vya utovu wa usalama eneo la chesogon mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo Marakwet vimeendelea kuripotiwa.Hii ni baada ya wavamizi wanaoaminika […]
Top News







