Author: Charles Adika
-
MBUNGE WA POKOT KUSINI ASHUTUMIWA KWA KUJIPIGIA KIFUA MIRADI YA SERIKALI.
Baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kumkosoa mbunge wa Pokot kusini David Pkosing kufuatia madai yake kuwa baadhi ya miradi ya ujenzi wa barabara katika kaunti […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUUNGA MKONO VYAMA VYA KISIASA VITAKAVYOWANUFAISHA.
Mwanasiasa yeyote ana uhuru na haki ya kuanzisha chama cha kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi.Haya ni kwa mujibu wa mbunge wa Kapenguria Samwel Moroto ambaye hata hivyo amesema […]
-
IDADI YA VYOO KASEI YATAJWA KUWA YA CHINI MNO.
Idadi kubwa ya jamii katika eneo la Kasei kaunti hii ya Pokot magharibi hazina vyoo.Haya ni kulingana na afisa wa afya ya umma eneo hilo Richard Chepkwony ambaye amesema kuwa […]
-
KAMPUNI YA NEW KCC YAAHIDI KUIMARISHA ZAIDI MKULIMA WA NG’OMBE WA MAZIWA.
Mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya New KCC Nixon Sigey amesema shirika hilo la maziwa nchini kwa ushirikiano na wizara ya kilimo limeweka mikakati kuhakikisha kuwa mkulima wa maziwa anapata bei […]
Top News








