Author: Charles Adika
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUWA MAKINI MSIMU HUU WA KRISMASI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa makini zaidi barabarani wakati wanaposafiri kuungana na jamaa zao msimu huu pamoja na kuhakikisha kuwa wanadumisha amani.Akiwatakia wakazi wa kaunti hii […]
-
VIJANA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUDUMISHA AMANI.
Wito umetolewa kwa vijana katika kaunti hii ya Pokot magharibi kudumisha amani msimu huu wa sherehe za krismasi na mwaka mpya na kutojihusisha na maswala ambayo huenda yakasababisha utovu wa […]
-
WAKAZI MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA ELGEYO MARAKWET WASHINIKIZA MIRADI YA MAENDELEO ILI KUKABILI TATIZO LA UTOVU WA USALAMA.
Uzinduzi wa miradi kama vile barabara utasaidia pakubwa katika kukabili utovu wa usalama ambao unashuhudiwa mara kwa mara mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jiarani ya Elgeyo […]
-
WAZEE WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA VITENGO VYA USALAMA KUKABILI UHALIFU KERIO VALLEY.
Mshirikishi wa serikali katika bonde la ufa George Natembeya amewataka wazee kutoka kaunti ya Baringo, Elgeiyo marakwet, na Pokot magharibi kushirikiana na maafisa wa polisi na machifu ili kukabili utovu […]
-
SERIKALI YAENDELEA KUWEKA MIKAKATI MKUKABILI UKAME.
Serikali imeendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha kuwa wakazi wa maeneo yaliyoathiriwa na ukame wanapata msaada unaohitajika.Akizungumza na kituo hiki katibu katika wizara ya hudumna za umma, jinsia na mipango maalum […]
Top News








