Author: Charles Adika
-
WABUNGE WA FORD KENYA WAAPA KUPITISHA MSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA VYAMA.
NA BENSON ASWANIWabunge wanaoegemea chama cha Ford Kenya katika kaunti ya Trans nzoia wameapa kuhakikisha kuwa mswada wa marekebisho ya sheria za vyama unapitishwa vikao vya bunge kuendelea kujadili mswada […]
-
MALUMBANO YAENDELEA KATI YA NATEMBEYA NA CHRIS WAMALWA KUHUSU UONGOZI WA TRANS NZOIA.
Mshirikishi wa serikali eneo la Bonde la ufa George Natembeya amepuuza juhudi za mpinzani wake katika kinyang’anyiro cha kiti cha ugavana wa kaunti ya Trans nzoia kwenye uchaguzi mkuu wa […]
-
-
-
-
-
VIONGOZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAITAKA SERKALI YA KITAIFA KUWACHUKULIA HATUA WALIOHUSIKA NA MAUJI ENEO LA CHESOGON
Katibu katika wizara ya michezo, utamaduni na toradhi za kitaifa Simon Kachapin ameelezea kusikitishwa na utovu wa usalama ambao umeendelea kushuhudiwa mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti […]
-
HALI YA TAHARUKI IMETANDA KATIKA ENEO LA CHESOGON MPAKANI PA KAUNTI YA MARAKWET NA POKOT MAGHARIBI
Ng’ombe zaidi ya 300 wameibwa huku wakazi wawili wakiripotiwa kuuliwa na wengine kujeruhiwa baada ya wavamizi wanaoaminika kutoka kaunti jirani kuvamia eneo la chesogon mpakani pa kaunti hii na kaunti […]
Top News







