Author: Charles Adika
-
CHIFU WA NAMODO POKOT MAGHARIBI ASHUTUMIWA KWA UNYAKUZI WA ARDHI.
Wakazi wa kijiji cha Namodo eneo la Lokichar kaunti hii ya Pokot magharibi wameandamana kulalamikia kile wamedai hatua ya chifu wa eneo hilo kunyakua ardhi yao.Wakazi hao wanamtuhumu chifu wa […]
-
WAKULIMA TURKWEL NA LOIMA WAKUMBATIA MBINU MPYA ZA KILIMO.
Wakulima kutoka eneo la Turkwel na Loima Turkana kusini wamekumbatia mbinu mpya ya upanzi wa mimea kwenye mifuko uliowekwa mchanga wenye rutuba ili kuepuka hasara ambayo wamekuwa wakikadiria kutokana na […]
-
WAFUASI WA ODM TRANS NZOIA WAHIMIZA AMANI KATIKA MKUTANO WA BUKHUNGU 2.
Wafuasi wa chama cha ODM Kaunti ya Trans Nzoia wamewarai vijana kutoka magharibi ya nchi kuhubiri amani katika Mkutano wa Bukhungu hii leo wakisema Francis Atwoli na Gavana wa Kakamega […]
-
VIJANA WAONYWA DHIDI YA KUJIHUSISHA NA DHULUMA ZA JINSIA TRANS NZOIA.
Jaji wa mahakama ya Rufaa mjini Kisumu Patrick Kiage amesikitikia idadi kubwa ya kesi za dhuluma za kimapenzi zinazoripotiwa kila siku katika nyingi ya mahakama za humu nchini ikihusisha vijana […]
Top News








