Author: Charles Adika
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHAKIKISHIWA USALAMA MIPAKANI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi hasa katika mipaka ya kaunti hii na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet ambako kumekuwa kukishuhudiwa utovu wa usalama wametakiwa kuendelea kudumisha amani msimu […]
-
MBUZI AINA YA GALA WAENDELEA KUTOLEWA KWA WAKULIMA POKOT MAGHARIBI.
Wafugaji katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kutunza vyema mifugo ambao wamepewa na gavana wa kaunti hii John Lonyangapuo ili kuimarisha kilimo chao cha ufugaji.Akizungumza baada ya kutolewa mbuzi […]
-
NCIC YATAKIWA KUFUATILIA MIENENDO YA WANASIASA TRANS NZOIA.
Tume ya kitaifa ya uwiano na utangamano wa kitaifa NCIC na idara ya upelelezi DCI zimetakiwa kufuatilia kwa karibu viongozi wa kisiasa ambao wanatoa semi za chuki katika mikutano mbali […]
-
ANC CHAPATA PIGO BUNGOMA MIKONONI MWA UDA.
Chama cha ANC chake Musalia Mudavadi kimepata pigo baada ya mwenyekiti wa chama hicho tawi la kaunti ya Bungoma Johnathan Baraza kugura chama hicho na kujiunga na chama cha UDA […]
Top News








