Author: Charles Adika
-
TAHARUKI YAENDELEA KUTANDA CHESOGON MPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA ELGEYO MARAKWET.
Baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameilaumu pakubwa serikali kwa kushindwa kudhibiti usalama katika eneo la Chesogon mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani […]
-
CDF KACHELIBA YAPUUZA MADAI YA KUTOKUWA NA UWAZI KATIKA MATUMIZI YA FEDHA.
Meneja wa hazina ya CDF eneo bunge la Kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi Wilson Koringura amepuuzilia mbali madai ya kutokuwepo uwazi katika ugavi wa fedha hizo eneo bunge hilo.Akizungumza […]
-
WANAHARAKATI WATAKA SHERIA DHIDI YA MIMBA ZA MAPEMA KUFANYIWA MAREKEBISHO.
NA BENSON ASWANIMmoja wa watetezi wa haki za watoto katika kaunti ya Baringo Nyambura Maing’una ameelezea haja ya kutathminiwa upya sheria inayotoa adhabu kwa mtoto mvulana anayempachika mimba msichana mwenye […]
-
MAGOHA ATAKIWA KUFUATILIA MAAGIZO ANAYOTOA KATIKA SEKTA YA ELIMU.
Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Trans nzoia wamemtaka waziri wa elimu Prof. George magoha kufuatilia maagizo anayotoa ili kuwaepushia wazazi mahangaiko ambayo wanapitia kulipa karo.Mwanasiasa Anthony Makan kutoka eneo […]
-
-
-
-
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTIA JUHUDI KATIKA SHUGHULI ZAO ZA KILA SIKU.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuendelea kutia juhudi katika shughuli zao mbali mbali mwaka huu licha ya changamoto ambazo wamekumbana nazo mwaka jana.Seneta wa kaunti hii Samwel […]
-
UONGOZI WA GAVANA LONYANGAPUO WAZIDI KUKOSOLEWA.
Uongozi wa gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi umeendelea kukosolewa na viongozi mbali mbali kutoka kaunti hii miezi michache tu kabla ya kukamilika muhula wake wa kwanza ambao amehudumu […]
Top News









