Author: Charles Adika
-
VIWANGO VYA MAAMBUKIZI YA CORONA VYARIPOTIWA KUPANDA POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuendelea kuzingatia kanuni za wizara ya afya kuzuia msambao wa virusi vya corona ili kusalia salama hasa msimu huu ambapo maambukizi yanaripotiwa […]
-
WAKUU WA SHULE WATETEA HATUA YA KUWAREJESHA NYUMBANI WANAFUNZI.
Baadhi ya wakuu wa shule katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametetea hatua yao ya kuwatuma nyumbani wanafunzi kutafuta karo siku chache tu baada ya shule kufunguliwa kwa muhula wa […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA KATIKA BONDE LA KERIO.
NA BENSON ASWANIViongozi kutoka eneo bunge la Marakwet magharibi kaunti ya Elgeyo marakwet wameendelea kashifu uvamizi uliotekelezwa na wahalifu katika eneo la chepkum katika wadi ya arror ambapo watu watatu […]
-
FORD KENYA CHAPANGA KUWAFURUSHA WANACHAMA WAASI TRANS NZOIA.
Chama cha Ford Kenya katika kaunti ya Trans nzoia kimetangaza kuwatimua wanachama waasi waliochaguliwa kupitia chama hicho na nafasi zao kujazwa na viongozi waaminifu wakati kikijiandaa kwa ajili ya uchaguzi […]
-
-
Top News







