Author: Charles Adika
-
HATUA YA KUONDOLEWA NEMBO ZA UDA CHEPARERIA YASHUTUMIWA VIKALI.
Viongozi wa chama cha UDA eneo bunge la Pokot kusini katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameshutumu hatua ya kuondolewa nembo ya wilbaro ya chama hicho iliyokuwa imewekwa eneo la […]
-
SERIKALI YATANGAZA OPARESHENI YA KUTWAA SILAHA HARAMU KERIO VALLEY.
Serikali imetangaza kuanza oparesheni ya kutwaa silaha ambazo zinamilikiwa kinyume cha sheria katika kaunti za Elgeyo marakwet na Baringo kufuatia utovu wa usalama unaoshuhudiwa katika kaunti hizo.Oparesheni hii inafuiatia mauaji […]
-
VIONGOZI WATAKIWA KUWASAIDIA WANAFUNZI WENYE MATATIZO YA KARO BARINGO.
Katibu wa kitaifa wa idara ya elimu ya juu katika chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET Sammy Chelang’a ameirai jamii na viongozi kuwasadia wanafunzi […]
-
‘FARASI NI WAWILI AGOSTI 9,’ ASEMA MULIPUKO.
Kinyang’anyiro cha urais katika uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti kitakuwa baina ya farasi wawili hivyo vigogo wa muungano wa one Kenya alliance OKA wanafaa kutafakari kuhusu misimamo yao.Haya ni kulingana […]
Top News








