Author: Charles Adika
-
GAVANA LONYANGAPUO AWAHIMIZA WANASIASA KUKOMA KUINGIZA SIASA KATIKA MASWALA YA AFYA
Gavana wa kaunti ya pokot magharibi john lonyangapuo ameongoza zoezi la uzinduzi wa dawa zitakazotumiwa katika vituo vyote vya afya kwenye kaunti hiiKatika mazungumzo ya kipekee na idhaa hii gavana […]
-
VIONGOZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAMEHIMIZWA KUDUMISHA AMANI MSIMU HUU WANAPOENDELEZA SIASA ZAO
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kutoa wito kwa wakazi kuzingatia amani na utulivu hasa wakati huu ambapo siasa za uchaguzi mkuu ujao zimezidi kushika kasi.Wa hivi punde […]
-
MAAFISA WA POLISI WA KITUO CHA MARICH KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WANAWASAKA WANAUMME KUMI WALIOHUSIKA KWA KUMLAZIMISHIA MSICHANA MMOJA NDOA YA MAPEMA.
Maafisa wa polisi katika eneo la sigor kaunti hii ya pokot magharibi wanawatafta wanaumme kumi wanaosemekana kumdhulumu msichana mwenye umri wa miaka kumi na miwili aliyekataa kuolewa na mtu mzee […]
Top News






