Author: Charles Adika
-
MGOMBEA KITI CHA UBUNGE KAPENGURIA LUCY LOTEE AAGA DUNIA.
Jamii ya aliyekuwa mwakilishi wadi maalum Lucy Lotee inaendelea kuomboleza kifo chake baada yake kuaga dunia hiyo jana katika hospitali ya Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi.Kulingana na mwanawe Allan […]
-
WASHUKIWA WA UVAMIZI WASHAMBULIA MATATU NA KUWAJERUHI WATU WATATU MJINI LODWAR.
Wasafiri wanaotumia barabara kuu ya kutoka lodwar kuelekea kitale wamejawa hofu na kusitishwa kwa usafiri baada ya matatu moja iliyokuwa ikitoka lodwar kuelekeamjini Kitale kaunti ya Trans nzoia kushambuliwa kwa […]
-
WENYEJI WA LESOS TRANS NZOIA WALALAMIKIA UKOSEFU WA MAJI MIEZI MIWILI SASA.
Wenyeji wa Lesos wadi ya bidii viungani mwa mjini Kitale katika kaunti ya Trans nzoia wanalalamikia ukosefu wa maji safi kwa takriban miezi miwili sasa baada ya mwanakandarasi anayekarabati barabra […]
Top News








