Author: Charles Adika
-
EACC YASHINIKIZWA KUHARAKISHA UCHUNGUZI WA MATUMIZI YA FEDHA POKOT MAGHARIBI.
Aliyekuwa gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kuwahimiza wakazi wa kaunti hii kumuunga mkono kuwania tena kiti hicho katika uchaguzi mkuu ujao ili kukamilisha miradi ya […]
-
UTULIVU WAREJEA KOITILIAL, ELGEYO MARAKWET.
Utulivu umeanza kurejea kwenye eneo la koitilial kaunti ya Elgeyo marakwet baada ya watu wawili kuuliwa kwa kupigwa risasi na wavamizi huku wengine 7 wakijeruhiwa vibaya.Kulingana na mshirikishi wa eneo […]
-
‘LONYANGAPUO HANA UMAARUFU TENA POKOT MAGHARIBI’, ASEMA ATUDONYANG.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi John Lonyangapuo alipoteza umaarufu wake wa kisiasa katika kaunti hii baada yake kujiondoa katika chama cha KANU na kubuni chama cha KUP kinachotajwa […]
-
UTOVU WA USALAMA WAENDELEA KUSHUHUDIWA MARAKWET MAGHARIBI.
Viongozi katika kaunti ya elgeyo marakwet wameshutumu mauaji ya watu wawili yaliyotekelezwa na wezi wa mifugo katika eneo la koitilial, eneo bunge la marakwet magharibi hapo jana.Wakiongozwa na naibu gavana […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUKOMESHA UVAMIZI WA MARA KWA MARA BARINGO KASKAZINI NA KUSINI.
Serikali kuu kupitia asasi zake mbali mbali imetakiwa kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini kiini cha mashambulizi ya mara kwa mara kwenye eneo bunge la Baringo kaskazini na kusini katika […]
Top News









