Author: Charles Adika
-
WAKUU WA USALAMA WALAUMIWA KUTOKANA NA UTOVU WA USALAMA KERIO VALLEY.
Mbunge wa Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amelaumu kile amedai kuwa utepetevu miongoni mwa maafisa wa usalama kufuatia ongezeko la utovu wa usalama katika bonde la […]
-
WAKAZI WA BONDE LA KERIO WALALAMIKIA BAA LA NJAA.
Wakaazi wa maeneo ya bonde la kerio sasa wanaiomba serikali na mashirika mengine kuwasambazia chakula cha msaada ili kuwanusuru na baa la njaa linalowakumba.Wakiongozwa na Timothy Kemboi wakazi hao wanasema […]
-
ASILIMIA KUBWA YA WAKAZI TRANS NZOIA WAKABILIWA NA UHABA WA MAJI LICHA YA KUWEPO VYANZO VYA MAJI.
Imebainika kwamba asilimia 50 ya wakazi wa kaunti ya Trans nzoia hawajasambaziwa maji licha ya kuwa na vianzo viwili vya maji vikiwamo vya mlima Elgon na kile cha Cherangany.Waziri wa […]
Top News







