Author: Charles Adika
-
WAKULIMA WATAKA BEI ZA PEMBEJEO KUSHUSHWA KAUNTI YA TRANSNZOIA
Wakulima katika kaunti ya transzoia wameadhirika sana na hali mbaya ya hewa ambayo imedhiri upanzi na uzalishaji wa chakula katika kaunti hiyo.Wakulima kutoka kijiji cha kapsitwet ambao wanajihusisha na ukuzaji […]
-
WASHUKIWA WAWILI WAFIKISHWA MAHAKAMANI KAPENGURIA BAADA YA KUPATIKANA NA VILEO HUMU NCHINI KUTOKA NCHI JIRANI YA UGANDA
Kesi kuhusu ukwepaji wa kodi inayowahusu washukiwa wawili kaunti hii ya Pokot magharibi imetajwa katika mahakama ya kapenguria ambapo washukiwa walitakiwa kujibu mashitaka dhidi yao.Geoffrey Torotich ambaye ni dereva na […]
-
WASHUKIWA WAWILI WA UVAMIZI WAUAWA NA POLISI CHESOGON.
Washukiwa wawili wa uvamizi wameuliwa kwa kupigwa risasi huku wengine wakiuguza majeraha mabaya kufuatia makabiliano makali na maafisa wa polisi usiku wa kuamkia leo eneo la chesogon mpakani pa kaunti […]
-
JAMII YA SABAOT TRANS NZOIA YAGAWANYIKA KUHUSU NAIBU GAVANA WA KEN LUSAKA.
Viongozi wa jamii ya sabaot katika kaunti ya Trans nzoia wameshindwa kuafikiana kuhusu ni nani anayepaswa kuteuliwa kuwa naibu gavana wa Ken Lusaka kwenye uchaguzi mkuu ujao kwa madai ya […]
Top News







