Author: Charles Adika
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHAKIKISHA HUDUMA BORA ZA AFYA.
Mbunge wa sigor katika kaunti hii ya Pokot magharibi Peter Lochakapong ameelezea imani kwamba sekta ya afya katika kaunti hii ambayo imetajwa kuwa na changamoto tele katika uongozi uliotangulia itaimarika […]
-
OCPD WA ALALE ASUTWA KWA MADAI YA ULAJI RUSHWA.
Wahudumu wa magari yanayohudumu katika barabara ya kacheliba wamelalamikia kuhangaishwa na OCPD wa pokot kaskazini hasa eneo la Alale ambaye wanadai kwamba anawatoza shilingi 500 kila mwezi kwa kila gari […]
-
WAKAAZI KAUNTI YA TRANSNZOIA WANAMTAKA GAVANA KUWATEUA MAAFISA WAADILIFU
Chama cha kutetea maslahi ya wafanyikazi katika kaunti ya Trans nzoia kimemtaka gavana wa kaunti hiyo George Natembeya kuwateua maafisa waadilifu na ambao wataimarisha utendakazi katika serikali yake anapotarajiwa kutangaza […]
-
WAKAAZI WA BARINGO WANATAKA JOPO KAZI LILILOTEULIWA KUFIKA MASHINANI KUPOKEA MAONI KUHUSU MTALAA WA CBC
Jopokazi lililoteuliwa na rais dkt william ruto la kutathmini mtaala wa cbc likiwa na kipindi cha miezi sita chaa kusaka maoni kutoka kwa wadau tofauti baadhi ya wakazi kaunti ya […]
-
MISURURU YA MIKUTANO YAANZISHWA NA WAZEE WA JAMII YA POKOT ILI KUMALIZA MIZOZO INAYOSHUHUDIWA KWENYE MIPAKA
Wazee kutoka jamii ya Pokot sasa wameanzisha misururu ya mikutano ya amani katika Bonde la Kerio ambalo linakabiliwa na utovu wa usalama na mauaji ya mara kwa mara Kulingana na […]
Top News









