Author: Charles Adika
-
MWANAYE KIPNG’OK AIDHINISHWA RASMI NAIBU GAVANA WA BARINGO.
Bunge la kaunti ya Baringo limeidhinisha uteuzi rasmi wa Felix kiplagat maiyo kama naibu gavana kaunti hiyo kama ilivyopendeleza kamati ya uteuzi ya bunge hilo. Kwenye kikao kilichoandaliwa mapema alhamisi […]
-
SERIKALI YAENDELEA KUWEKA MIKAKATI KUKABILI KERO LA UKAME
Huku hali ya ukame ukiendelea kukithiri katika baadhi ya kaunti nchini serikali ya kaunti hii kupitia idara ya kilimo inaendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha kwamba wakazi wanapata suluhu ya kudumu […]
-
URAIBU WA POMBE NA DAWA ZA KULEVYA WATISHIA MUSTAKABALI WA VIJANA MATHARE, POKOT MAGHARIBI.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia idara za usalama imetakiwa kuingilia kati na kukabili matumizi ya dawa za kulevya na pombe katika mtaa wa mathare viungani mwa mji […]
-
Mchezaji wa Arsenal alazwa hospitalini baada kudungwa kisu na mwendawazimu
•Mari alikuwa miongoni mwa watu sita ambao walishambuliwa kwa kisu na mwendawazimu mmoja kwenye jumba la maduka katika jiji la Milan jana jioni. •Arsenal ilituma ujumbe wake wa faraja kwa […]
-
BUNGE LA TRANS NZOIA LATAKIWA KUMAKINIKA KATIKA KUWAPIGA MSASA MAWAZIRI WA NATEMBEYA.
Gavana wa kaunti ya Trans nzoia George Natembeya ametetea orodha ya majina ya maafisa watakaohudumu katika serikali yake na ambayo anatarajiwa kuwasilisha katika bunge la kaunti hiyo kupigwa msasa akisema […]
-
SHULE ZASALIA MAHAME KACHELIBA KUFUATIA MAKALI YA NJAA
Shule nyingi eneo la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magaribi zinakosa mgao wa kutosha unaotolewa na serikali kuu kuendesha shughuli shuleni humo kutokana na idadi ndogo ya wanafunzi katika […]
Top News









