News
-
VIONGOZI WA KENYA KWANZA WAENDELEZA KAMPEINI KATIKA MAENEOBUNGE YA POKOT KUSINI NA KACHELIBA KAUNTI YA POKOT
Viongozi mbalimbali wa Muungano wa Kenya Kwanza wakiongozwa na Naibu Rais Mteule Rigathi Gachagua wanatarajiwa kuzuru Kaunti ya Pokot Magharibi leo hii siku mbili kabla ya uchaguzi uliohairishwa ambao utafanyika […]
-
MIKAKATI YA KUANDAA CHAGUZI ZILIZOAHIRISHWA YAKAMILIKA.
Baadhi ya wagombea nyadhifa za uongozi katika maeneo ambako uchaguzi mkuu uliahirishwa wameelezea kuridhia tarehe mpya ya uchaguzi huo iliyotangazwa na tume ya uchaguzi IEBC.Mwenyekiti wafula chebukati alisema tume hiyo […]
-
SHUGHULI ZA MASOMO KUATHIRIKA TENA KATIKA SHULE ZITAKAZOTUMIKA KAMA VITUO VYA KUPIGIA KURA.
Shule za kutwa kwenye maeneo ambako kutafanyika uchaguzi jumatatu wiki ijayo zitafungwa kwa siku moja ili kupisha shughuli hiyo muhimu.Akitangaza hayo waziri wa elimu prof. George Magoha alisema wanafunzi kwenye […]
-
AZIMIO YAWASILISHA RUFAA YA KUPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI WA URAIS.
Chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya hatimaye kimewasilisha rufaa ya kupinga matokeo ya uchguzi mkuu wa agosti 9.Katika stakabadhi yenye kurasa 76, kinara wa muungano huo Raila […]
-
MCHAKATO WA KUPATA UONGOZI MPYA POKOT MAGHARIBI WAELEKEA KUKAMILIKA.
Mipango ya kuingia afisini rasmi serikali mpya inayoongozwa na gavana mteule Simon Kachapin katika kaunti hii ya Pokot magharibi inaendelea, kamati ya kufanikisha ukabidhianaji mamlaka ikiwa katika hatua za mwisho […]
-
MIMBA ZA MAPEMA ZASALIA KIKWAZO KWA ELIMU YA MTOTO WA KIKE POKOT MAGHARIBI.
Huenda baadhi ya wanafunzi hasa wa kike katika kaunti hii ya Pokot magharibi wakakosa kurejea shuleni baada ya shule kufunguliwa tena kutokana na likizo ya majuma mawili ambayo yalitumika kuandaa […]
-
ATHARI ZA UVAMIZI ZENDELEA KUSHUHUDIWA BARINGO.
Zaidi ya familia 100 kwenye eneo bunge la Baringo kaskazini zilizokimbia makwao kutokana na utovu wa usalama sasa zanaitaka serikali kuingilia kati ili kuwapa mahitaji ya kimsingi kama vile chakula.Familia […]
-
MACHO YOTE YAELEKEA MAHAKAMA KUU AZIMIO UKITARAJIWA KUWASILISHA KESI YA KUPINGA MATOKEO YA URAIS.
Chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya kinatarajiwa leo kuwasilisha kesi mahakamani kupinga ushindi wa William Ruto katika matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa jumatatu iliyopita na mwenyekiti wa tume […]
-
MASOMO YAREJELEWA BAADA YA LIKIZO YA UCHAGUZI.
Shughuli za masomo zinaporejelewa leo baada ya kufungwa shule kwa kipindi cha majuma mawili ili kupisha maandalizi ya uchaguzi mkuu, wazazi wametakiwa kuhakikisha kuwa wanao wanarejea shuleni kwa wakati unaofaa.Akizungumza […]
-
HOSPITALI YA KACHELIBA YASUTWA KWA KUWANYANYASA WAFANYIKAZI.
Wafanyikazi katika hospitali ya Kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia hali ngumu ya maisha ambayo wanapitia wanapoendeleza shughuli zao katika hospitali hiyo.Wafanyikazi hao wamelalamika kulipwa fedha kidogo licha ya […]
Top News










