News
-
JOPO LA KUANGAZIA CBC LAZURU POKOT MAGHARIBI HUKU MTAALA HUO UKIENDELEA KUPOKEA PINGAMIZI
Baadhi ya wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kupinga utekelezwaji wa mtaala mpya wa elimu CBC huku jopo lililobuniwa na rais William Ruto likiendeleza vikao vya mwisho mwisho […]
-
UTAPIA MLO WATAJWA KUKITHIRI POKOT MAGHARIBI MASHIRIKA YA KIJAMII YAKICHANGIA JUHUDU ZA KUKABILI HALI HIYO.
Shirika la Action Agaisnt Hunger ACF limeikabidhi hospitali ya kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi dawa zitakazotumika kuwashughulikia watoto walioathirika na utapia mlo maeneo mbali mbali ya kaunti hiyo.Akizungumza wakati […]
-
KACHAPIN ATAKA POLISI WANAOENDELEZA OPARESHENI MARICH KUONDOLEWA MARA MOJA.
Gavana wa kaunti hii ya pokot magharibi simon kachapin ameitaka idara ya polisi kuondoa vizuizi kwenye barabara kuu ya kapenguria kuelekea lodwar akidai vinatumika visivyo na polisi kuwanyanyasa wasafiri .Akizungumza […]
-
BUNGE LA POKOT MAGHARIBI LAAHIDI KUIWAJIBISHA SERIKALI BILA KUZINGATIA MIEGEMEO YA KISIASA.
Bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi litatumia fursa hii ambapo kuna umoja miongoni mwa wabunge katika bunge hilo kuhakikisha kwamba serikali iliyo mamlakani inawajibika inavyostahili kwa ajili ya wakazi.Haya […]
-
BAADHI YA WADAU WASHIKILIA MSIMAMO WA KUFUTILIWA MBALI MTAALA WA CBC.
Jopokazi la kuangazia utekelezwaji wa mtaala mpya wa elimu CBC linapoendeleza vikao vya kukusanya maoni kuhusu mtaala huo kutoka kwa wakenya maeneo mbali mbali ya nchi, wadau mbali mbali wameendelea […]
-
GAVANA KACHAPIN ATISHIA KUFUNGULIA MASHITAKA SERIKALI YA UINGEREZA KUFUATIA MAUAJI YA KOLOWA.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amekariri msimamo wake wa kufungua kesi dhidi ya serikali ya uingereza kufuatia mauaji ya wafuasi wa dini ya mafuta pole yanayodaiwa […]
-
KOMONGIRO ATETEA BARAZA LA MAWAZIRI POKOT MAGHARIBI.
Mwakilishi wadi ya Sook katika kaunti hii ya Pokot magharibi Martine Komongiro ametetea uteuzi wa maafisa wanaohudumu katika serikali ya gavana Simon Kachapin kufuatia lalama za baadhi kuwa waliahidiwa nafasi […]
-
UTEUZI WA JOEL ARUMONYANG KAMA KATIBU WAENDELEA KUVUTIA HISIA POKOT MAGHARIBI.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza uteuzi wa rais William Ruto wa makatibu katika wizara mbali mbali za serikali yake.Kachapin aidha alipongeza uteuzi wa Joel Arumonyang […]
-
MIITO YA MISAADA YATOLEWA HUKU BAA LA NJAA LIKIENDELEA KUKITA MIZIZI TURKANA.
Mwenyekiti wa jamii ya Turkana kaunti ya Trans nzoia Jackson Eragai amewataka wanasiasa, wafanyibiashara na watu wenye nia njema kutoa msaada wa chakula kwa wakazi wa kaunti ya Turkana ili […]
-
CHANGAMOTO YATOLEWA KWA VIJANA KUHUSIKA KATIKA KUKABILI MABADILIKO YA TABIA NCHI.
Vijana kutoka wadi ya Chepareria eneo bunge la Pokot kusini wametakiwa kukumbatia upanzi wa miti na kuelimisha jamii kupitia mitandao kufuatia ongezeko la ukame unaoshuhudiwa nchini.Mshirikishi wa shirika la Green […]
Top News










