News
-
WALIMU KUTOKA POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA KUNYIMWA UHAMISHO NA AFISI ZA TSC TRANS NZOIA.
Mamia ya walimu kutoka kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kupiga kambi katika afisi ya Kamishna wa kaunti ya Trans-Nzoia, kulalamikia hatua ya tume ya kuajiri walimu nchini, TSC, kuchelewesha uhamisho […]
-
MAAFISA WA ELIMU POKOT MAGHARIBI WAENDESHA UKAGUZI SHULENI MASOMO YA GREDI YA SABA YAKIANZA RASMI.
Maafisa katika idara ya elimu na ile ya usalama kaunti ya pokot magharibi wamefanya ukaguzi katika baadhi ya shule kwenye kaunti hiyo wakati wanafunzi waliofanya mtihani wa gredi ya sita […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WALAUMIWA KWA KUENDELEZA SIASA ZA MAPEMA.
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewakosoa baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hiyo kwa kile amesema kwamba wameanza kujihusisha na siasa za mapema miezi michache […]
-
WADAU WATAKIWA KUZIDISHA VITA DHIDI YA MIMBA ZA MAPEMA MIONGONI MWA WATOTO WA KIKE.
Jamii imetakiwa kuchangia katika juhudi za kuhakikisha kwamba mimba za mapema miongoni mwa watoto wa kike zinakomeshwa kabisa katika kaunti ya Pokot magharibi.Ni wito wake naibu mwalimu mkuu wa shule […]
-
UTOVU WA USALAMA WASALIA KIZUNGUMKUTI CHESOGON, WAKAZI WAKIPAZA VILIO.
Wakazi wa Cheptulel eneo la Chesogon mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo Marakwet wamelalamikia kukithiri utovu wa usalama ambao unasababishwa na uvamizi wa mara kwa […]
-
SERIKALI ILIYOTANGULIA POKOT MAGHARIBI YASUTWA KWA ‘KUPORA’ MSAADA WA WAATHIRIWA WA MAPOROMOKO YA ARDHI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameisuta vikali serikali iliyotangulia ya aliyekuwa gavana John Lonyangapuo kuhusiana na jinsi ilivyoshughulikia waathiriwa wa maporomoko ya ardhi yaliyoshuhudiwa mwaka 2019.Akizungumza na […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUZINGATIA USHIRIKIANO NA KUEPUKA SIASA ZA KILA MARA.
Aliyekuwa mbunge wa Sigor katika kaunti hii ya Pokot Magharibi Philip Rotino ametoa wito kwa viongozi na wakazi wa kaunti hii kudumisha umoja.Akizungumza na kituo hiki Rotino amewataka viongozi waliochaguliwa […]
-
WAKAZI WA AMUDAT WASHAURIWA KUTOHOFIA OPARESHENI YA KIUSALAMA INAYOENDESHWA ENEO HILO NA MAFISA WA POLISI.
Wakazi wa eneo la Amudat mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda wametakiwa kutokuwa na wasi wasi kufuatia oparesheni inayoendelea ya kuondoa silaha haramu katika mkoa […]
-
WAKUU WA SHULE WAPINGA MADAI YA KUHUSIKA UDANGANYIFU KATIKA MTIHANI WA KCSE MWAKA 2022.
Siku moja tu baada ya aliyekuwa seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio kutaka uchunguzi kufanyiwa matokeo ya mtihani wa kitaifa kwa kidato cha nne KCSE mwaka 2022 […]
-
VIONGOZI WATAKIWA KUTOINGIZA SIASA KATIKA ZOEZI LA USAJILI WA WALIMU.
Mbunge wa Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amewataka viongozi wa kisiasa katika kaunti hii kutoingiza siasa katika shughuli ya usajili wa walimu ambayo inaendelea kote nchini.Moroto […]
Top News










