News
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKA SHUGHULI ZA KENGEN KUREJESHWA TURKWEL.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameisuta serikali kwa kile wamesema kwamba imehamisha shughuli za kampuni ya KenGen hadi mjini Kitale kaunti ya Trans nzoia.Wakiongozwa na mbunge wa […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTOTEGEMEA KILIMO CHA MIFUGO NA BADALA YAKE KUANGAZIA KILIMO MBADALA.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kuendelea kusalia watulivu serikali inapoendeleza mikakati ya kuhakikisha kwamba wanapokea mbolea ya ruzuku baada ya kukamilika zoezi la kuwasajili wakulima watakaopokea […]
-
WAHISANI WAOMBWA KUWASAIDIA WAKAZI WANAOKABILIWA NA BAA LA NJAA POKOT MAGHARIBI.
Mbunge wa kacheliba kaunti ya Pokot magharibi Titus Lotee ametoa wito kwa wahisani wakiwemo mashirika yasiyo ya serikali kujitokeza na kuwasaidai wakazi wa kaunti hiyo ambao wanakabiliwa na baa la […]
-
VIONGOZI WASHINIKIZA KUBADILI MBINU ZINAZOTUMIKA KUKABILI WIZI WA MIFUGO BONDE LA KERIO.
Viongozi wa kaunti ya Pokot magharibi kwa ushirikiano na idara za usalama waliendeleza mikutano ya amani maeneo ya mipakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ambako kumekuwa kukishuhudiwa visa vya […]
-
MOROTO ATANGAZA KUANGAZIA UHABA WA MADARASA KABLA KUJENGA MAABARA KATIKA SHULE ZA JUNIOR SECONDARY.
Mbunge wa kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto amesema kwamba atatoa kipau mbele kwa ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi ya Talau ili kutoa nafasi ya kutosha […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WASHUTUMU MBINU ZINATOTUMIKA KUKABILI UTOVU WA USALAMA BONDE LA KERIO.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin aliongoza viongozi katika kaunti hiyo kushutumu serikali kwa kile walidai kuihami jamii moja kwa silaha katika kukabili utovu wa usalama kwenye kaunti […]
-
KISA CHA KUPIGWA NG’OMBE RISASI NA POLISI KAINUK CHAZIDI KUKASHIFIWA.
Kisa cha kuuliwa ng’ombe zaidi ya 100 mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Turkana kitendo kinachodaiwa kutekelezwa na maafisa wa polisi kimeendelea kusutwa vikali na viongozi […]
-
VIJANA 7 KUTOKA POKOT MAGHARIBI WAZUILIWA KATIKA KITUO CHA POLISI CHA LOKICHAR, TURKANA.
Viongozi wa kaunti ya Pokot magharibi wametoa wito wa kuachiliwa huru vijana saba ambao wanadaiwa kushikiliwa katika kituo cha polisi cha Lokichar katika kaunti ya Turkana baada ya kukamatwa eneo […]
-
VIONGOZI BONDE LA KERIO WATAKA KUSHIRIKISHA WANANCHI KIKAMILIFU KATIKA KUTAFUTA SULUHU KWA UTOVU WA USALAMA.
Suluhu la utovu wa usalama katika kaunti za eneo la eneo la bonde la kerio liko mikononi mwa wananchi kutoka maeneo hayo.Haya ni kulingana na aliyekuwa mwaniaji wa ubunge eneo […]
-
MIMBA ZA MAPEMA NA TATIZO LA KARO YATAJWA MIONGONI MWA SABABU ZA KUTOFANYA VYEMA KATIKA KCSE BAADHI YA WANAFUNZI.
Visa vya mimba za mapema miongoni mwa baadhi ya wanafunzi wa kike kaunti ya Pokot magharibi pamoja na tatizo la karo ni baadhi ya changamoto ambazo zilipelekea baadhi ya shule […]
Top News










