News
-
MCHUNGAJI AKAMATWA BAADA YA KUMPACHIKA MIMBA MWANAFUNZI WA DARASA LA SITA MOI’S BRIDGE
Mchungaji wa kanisa moja katika mtaa wa Reli viungani mwa mji wa Moi’s Bridge Christopher Juma mwenye umri wa miaka 45 amekamatwa na polisi wa kituo kidogo cha Mashine baada […]
-
VIONGOZI WA KISIASA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAISHAURI SERIKALI KUU KUWA NA UTU INAPOFANYA OPARESHENI KAPEDO
Viongozi kaunti hii ya pokot magharibi wameendelea kutoa wito kwa serikali kuwa na utu katika kuendeleza oparesheni ya kuwakabili wahalifu wanaosababisha ukosefu wa usalama eneo la Kapedo mpakani pa kaunti […]
-
WALIMU WAKUU KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAPUUZILIA MBALI AGIZO LA WIZARA YA ELIMU
Walimu wakuu kaunti ya Pokot Magharibi wamepuuzilia mbali agizo la waziri wa elimu Proff George Magoha la kutowatuma nyumbani wanafunzi kutokana na karo.Wiki hii kaunti ya Pokot Magharibi wanafunzi wengi […]
-
WENGI WA WASICHANA NA AKINA MAMA KAUNTI HII YA POKOT MAGHARIBI WANAKOSA VISODO
Mamia ya wasichana na akina mama katika kaunti ya Pokot Magharibi wanakabiliwa na changamoto za kukosa visodo sababu ya ukosefu wa raslimali hali ambayo inaathiri masomo yao wakati huu wa […]
-
MALI YENYE DHAMANI ISIYOJULIKANA YAHARIBIWA BAADA YA BWENI KUTEKETEA
Mali yenye dhamani isiyojulikana imeteketea usiku wa kuamkia leo katika shule ya upili ya Kitur kaunti ya Baringo baada ya moto mkubwa kuteketeza bweni moja la shule hiyo.Maafisa wa usalama […]
-
SERIKALI YASHAURIWA KUWASHIRIKISHA WENYEJI KUWATAMBUA WAHALIFU KAPEDO
Mshirikishi wa masuala ya amani katika shirika la SIKOM Peter Sikamoi ameitaka serikali ya kitaifa kuwashirikisha washikadau wote katika kuwatambua wahalifu wanaoishi miongoni mwa wanajamii.Akirejelea oparesheni inayoendeshwa katika Eneo bunge […]
-
MWANAMME AJITIA KITANZI BAADA YA KUBAINI KUWA ATAWEKEWA CHUMA KWENYE MGUU WAKE
Uchunguzi umeanzishwa kubaini kifo cha mwanamme mwenye umri wa miaka 38 ambaye mwili wake umepatikana nyumbani kwake katika kijiji cha Bulusu eneobunge la Shinyalu kaunti ya Kakamega.Mwanamme huyo alijitia kitanzi […]
-
AFISA WENGINE WAWILI WAMERIPOTIWA KUFARIKI KATIKA ENEO LA KAPEDO
Mkuu mwingine wa polisi na dereva wake wamethibitishwa kuuawa baada ya kupigwa risasi na washukiwa wa ujambazi katika eneo la jana jioni.Mshirikishi wa utawala katika eneo la bonde la ufa […]
-
SERIKALI YALAUMIWA KWA KUCHOCHEA MAPIGANO YANAYOSHUHUDIWA KAPEDO
Viongozi wa kisisasa katika kaunti hii ya Pokot Magharibi wamesema kuwa serikali ndio inachochea mapigano katika eneo la Kapedo.Wakizungumzia hatua ilizochukua wizara ya usalama kuwaandama magaidi waliowauwa maafisa wa usalama […]
-
SERIKALI IMESHAURIWA KUWAKAMATA WALIOTEKELEZA MAUAJI YA AFISA WA GSU KAPEDO
Mwakilishi mteule katika wadi ya Mnagei kaunti ya Pokot Magharib Elijah Kasheusheu amelaani na kushutumu utovu wa usalama unaoendelea kushuhudiwa katika eneo la kapedo kaunti ya Turkana.Kwenye mahojiano ya kipekee […]
Top News