News
-
IDADI NDOGO YA VIJANA KUTOKA KAUNTI YA TRANS NZOIA INAJIUNGA NA VYUO VYA KIUFUNDI
Serikali ya Kaunti ya Trans-Nzoia kupitia kwa wizara ya Elimu ya kiufundi imelalamikia idadi ndogo ya wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya anwai licha ya serikali ya kaunti kuekeza pakubwa katika […]
-
RAIS KENYATTA ASHAURIWA KUWEKA WAZI SABABU ZA KUWATEMA NJE MAJAJI 6 WA MAHAKAMA YA UPEO
Siku chache baada ya Rais Uhuru Kenyatta kukosa kuwateua majaji 6 wa mahakama ya upeo shinikizo zinazidi kutolewa kwa Rais Uhuru Kenyatta kutoa wazi sababu zilizo pelekea majaji hao kukosa […]
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA MAKADIRIO YA BAJETI.
Hisia mbali mbali zimeendelea kuibuliwa nchini kufuatia siku moja baada ya waziri wa fedha ukur yattani kusoma makidirio ya bajeti ya mwaka 2021/2022.Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi hasa […]
-
WAKUU WA SHULE WATAKIWA KUTOWATUMA WANAFUNZI NYUMBANI.
Miito imeendelea kutolewa kwa wakuu wa shule katika kaunti hii ya pokot magharibi kuwa na subira na kutowatuma nyumbani wanafunzi kutafuta karo.Wa hivi punde kutoa wito huo ni mwakilishi wadi […]
-
WANASIASA WATAKIWA KUJITENGA NA MASWALA YA HOSPITALI YA KACHELIBA.
Uongozi wa hospitali ya kacheliba kaunti hii ya pokot magharibi umekanusha vikali madai ya kushirikiana na baadhi ya maduka ya kuuza dawa mjini kacheliba kwa lengo la kujinufaisha kifedha.Kulingana na […]
-
WAKAZI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA MWANAKANDARASI ALIYETWIKWA JUKUMU LA KUJENGA BARABARA KADHAA KAPENGURIA.
Wakazi wa maeneo ya kamwino, chewoyet, sakas hadi eneo la siyoi wametakiwa kushirikiana na mwanakandarasi anayetarajiwa kutekeleza shughuli ya ujenzi wa barabara ya kupitia maeneo hayo unaotarajiwa kuanza karibuni.Akizungumza kwa […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUTUMA FEDHA ZA CDF BAJETI IKISOMWA LEO.
Waziri wa fedha Ukur Yattani akitarajiwa leo kusoma bajeti ya kipindi cha mwaka 2021/2022, wito umetolewa kwa serikali imetakiwa kutuma fedha za maendeleo ya maeneo bunge ya kipindi cha fedha […]
-
NDOA ZA MAPEMA ZAPUNGUA POKOT KASKAZINI.
Visa vya ndoa za mapema vimepungua eneo la Pokot kaskazini katika kaunti hii ya pokot magharibi katika siku za hivi karibuni kutokana na mipango mbali mbali inayoendeshwa eneo hilo na […]
-
ASILIMIA KUBWA YA WAKAZI TRANS NZOIA HAWANA BIMA YA NHIF.
Imebainika kwamba asilimia 77 ya wakazi wa kaunti ya Trans nzoia hawajajitokeza kusajili kupata bima hivyo basi kutatizika wanapotafuta matibabu .Akipokea ada ya NHIF kutoka kwa usimamizi wa Transnational times […]
-
MAGOHA ASHUTUMIWA KWA AGIZO LA KUWATUMA WANAFUNZI NYUMBANI KUTAFUTA KARO.
Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa miongoni mwa viongozi na wanachi kwa jumla nchini kufuatia agizo la waziri wa elimu prof. George magoha kuwataka walimu wakuu kuwatuma nyumbani wanafunzi ambao hawajakamilisha kulipa […]
Top News