News
-
HUENDA MASAIBU YA WALIMU WA KNUT YAKAFIKA KIKOMO KARIBUNI.
Katibu mkuu wa chama cha walimu nchini knut tawi la kaunti ya trans nzoia George Wanjala ameelezea matumani kuwa maslahi ya walimu yatashughulikiwa hasa baada ya uhusiano bora kuanza kushuhudiwa […]
-
WAZAZI WATAKIWA KULIPA KARO YA WANAO
Baadhi ya wakuu wa shule katika kaunti hii ya pokot magharibi wametoa wito kwa wazazi kujikakamua na kulipa karo ya wanao ili kuwezesha kuendeshwa shughuli muhimu katika shule hizo licha […]
-
WALIMU WAONYWA DHIDI YA KUWAZUIA WANAFUNZI WALIOPACHIKWA MIMBA NA KUJIFUNGUA.
Walimu wakuu katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameonywa dhidi ya kuwazuia kurejea shuleni wanafunzi waliopata mimba kipindi walichokuwa nyumbani kufuatia janga la corona na kisha kujifungua.Spika wa bunge la […]
-
WAZAZI WAGHADHABISHWA NA KUTUMWA NYUMBANI WANAFUNZI KWA AJILI YA KARO.
Waziri wa elimu prof. George magoha ametakiwa kuingilia kati na kuwakanya wakuu wa shule dhidi ya kuwarejesha nyumbani wanafunzi kwa ajili ya karo.Baadhi ya wazazi wa kaunti hii ya Pokot […]
-
RAIS ATAKIWA KUANGAZIA SWALA LA UMILIKI WA ARDHI TRANS NZOIA.
Rais Uhuru Kenyatta ametakiwa kusuluhisha maswala ya dhuluma za kihistoria, umiliki wa ardhi na swala la maskwota katika kaunti ya Trans nzoia wakati atakapozuru kaunti hiyo katika ziara yake ya […]
-
VISA VYA KUDUMAA NA UTAPIA MLO VYAPUNGUA POKOT MAGHARIBI.
Visa vya kudumaa katika ukuaji miongoni mwa watoto katika kaunti hii ya Pokot magharibi vimepungua kutoka asilimia 45 mwaka 2014 hadi asilimia 35 kufikia mwaka 2019 kulingana na takwimu za […]
-
UTOVU WA USALAMA WAAATHIRI KUFUNGULIWA SHULE CHESOGON
Shughuli za masomo zinaporejelewa kote nchini kwa muhula wa kwanza, taharuki ingali imetanda katika eneo la Chesegon mpakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na Elgeyo Marakwet kufuatia hofu ya […]
-
HOFU YA UPUNGUFU WA CHAKULA YATANDA TRANS NZOIA.
Viongozi Kaunti ya Trans Nzoia wameelezea hofu ya kupungua kwa uzalishaji wa zao la mahindi mwaka huu kwa zaidi ya asilimia hamsini.Wakiongozwa na Naibu Gavana Kaunti ya Trans Nzoia Dkt […]
-
VISA VYA UVAMIZI VYARIPOTIWA KUPUNGUA MPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA.
Chifu wa eneo la songok, ombolion eneo bunge la pokot kaskazini kaunti hii ya pokot magharibi Joseph Korkimul amepongeza juhudi za amani ambazo zinaendelezwa eneo hilo la mpakani baina ya […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUTOKUWA NA HOFU WANAO WANAPOREJEA SHULENI.
Wanafunzi wakiendelea kuripoti shuleni baada ya kufunguliwa shule kwa muhula wa kwanza baadhi ya shule kaunti hii ya pokot magharibi zimetangaza kuweka mikakati kabambe kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona […]
Top News










