News
-
VIONGOZI WA DINI WATAKA MAKANISA KUFUNGULIWA BUNGOMA.
Viongozi wa dini katika kaunti ya Bungoma wameendelea kuishinikiza serikali kuruhusu kuendelea ibaada makanisani kwa kuzingatia kanuni za kukabili maambukizi ya virusi vya corona.Viongozi hao wamesema kuwa kufunguliwa kwa makanisa […]
-
JUHUDI ZA KUKABILI UKEKETAJI BARINGO ZAPONGEZWA
Viongozi pamoja na wanaharakati wa kutetea haki za watoto eneo bunge la Tiati kaunti ya Baringo wameelezea kuridhishwa na hatua zilizopigwa katika kukabili ukeketaji.Wakiongozwa na mwakilishi wadi ya Loya Moroko […]
-
WATU WATANO WAULIWA NA WAVAMIZI MARAKWET MASHARIKI.
Polisi wameimarisha doria eneo la Marakwet mashariki katika kaunti ya Elgeyo marakwet baada ya wezi wa mifugo kuvamia eneo hilo jana na kuwaua watu watano kwa risasi huku wengine watatu […]
-
MTU MMOJA AULIWA KATIKA MAKABILIANO NA POLISI MPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA ELGEYO MARAKWET.
Mtu mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kutokea makabiliano ya risasi Kati ya watu wa jamii zinazoishi kwenye mpaka wa marakwet na Pokot upande wa Baringo.Mtu mwingine mmoja anauguza […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUJENGA DARAJA KWENYE MTO SHALPO.
Wakazi wa eneo la shalpo katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametoa wito kwa serikali ya kaunti hii kujenga daraja kwenye mto wa eneo hilo litakalowawezesha kuvuka bila wasiwasi hasa […]
-
UCHUNGUZI WAANZISHWA KUHUSU UTATA UNAOZINGIRA KIFO CHA KANGOGO.
Makachero wa idara ya upelelezi wa jinai DCI kwenye kitengo cha kuchunguza mauaji wametumwa katika kaunti ya Elgeyo marakwet kuchunguza kifo cha afisa wa polisi mwanamke Caroline Kangogo.Kifo chake Kangogo […]
-
UDA YATAKIWA KUTOJIPIGA KIFUA KUFUATIA USHIONDI WA KIAMBAA.
Ushindi wa mwaniaji wa UDA katika uchaguzi mdogo wa ubunge eneo la Kiambaa hauashirii chochote kuhusu umaarufu wa UDA maeneo mbali mbali nchini.Haya ni kwa mujibu wa seneta wa kaunti […]
-
LONYANGAPUO APONGEZA WAKAZI POKOT MAGHARIBI KWA USHIRIKIANO.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi John Lonyangapuo amewapongeza wakazi wa kaunti hii kwa ushirikiano ambao wametoa kwa serikali yake katika kipindi ambacho amekuwa mamlakani.Lonyangapuo amesema kuwa ni ushirikiano […]
-
IDARA ZA USALAMA ZAENDELEA KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILI VURUGU MAZISHINI BUNGOMA.
Idara za usalama maeneo mbali mbali katika kaunti ya Bungoma zimeendelea kuweka mikakati ya kuzuia vurugu katika hafla za mazishi ambazo zimetajwa kuchochewa pakubwa na viongozi wa kisiasa.Akizungumza katika hafla […]
-
HUDUMA ZA MAZISHI ZAPIGWA MARUFUKU KARIBU NA HOSPITALI KAUNTI YA TRANS NZOIA.
Gavana wa Kaunti ya Trans-Nzoia Patrick Khaemba ametoa agizo la kupiga marufuku biashara ya huduma za mazishi na kuondolewa Mara moja karibu au kwenye barabara kuu za kuelekea hospitalini katika […]
Top News