News
-
WAZAZI WATAKIWA KUFANYA JUHUDI ZAIDI KUMSHUGHULIKIA MTOTO WA KIAFRIKA.
Ni wakati wazazi katika kaunti hii ya pokot magharibi wanastahili kuamka na kujiunga na maeneo mengine pamoja na mataifa ya bara zima la afrika katika kuchangia juhudi za kuhakikisha mtoto […]
-
WAKULIMA POKOT MAGHARIBI WATAHADHARISHWA KUFUATIA UCHACHE WA MVUA.
Wakulima katika kaunti hii ya Pokot Magharibi wameshauriwa kuchukua tahadhari kutokana na ukosefu wa mvua kwa takriban miezi mitatau sasa.Waziri wa kilimo na mifugo katika kaunti hii ya Pokot Magharibi […]
-
WAKAZI WAHIMIZWA KUJISAJILI ILI KUPOKEA NETI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kujisali ili kuwa katika nafasi bora ya kupokea neti katika zoezi la kugawa neti hizo linalotarajiwa kuendelezwa na maafisa wa idara ya […]
-
WANASIASA TRANS NZOIA WAONYWA DHIDI YA KUENDELEZA SIASA ZA CHUKI.
Uchaguzi mkuu wa mwaka 2022 unapokaribia, wito umetolewa kwa wanasiasa katika kaunti ya Trans nzoia kuendeleza siasa za amani na kutosababisha kupanda joto la siasa nchini.Aliyekuwa seneta wa kaunti hiyo […]
-
UKOSEFU WA MVUA WAIBUA HOFU KWA WAKULIMA TRANS NZOIA.
Viongozi kutoka kaunti ya Trans-nzoia wameelezea wasiwasi wao kuhusu kuendelea kwa ukosefu wa mvua na uvamizi wa viwavi jeshi katika mashamba ya wakulima kaunti hiyo.Wakiongozwa na mshauri mkuu wa kisheria […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUFANYA KIPEU MBELE ELIMU YA MTOTO.
Taifa la Kenya linapojumuika na mataifa mengine kuadhimisha siku ya mtoto wa kiafrika hii leo, wito umetolewa kwa wazazi katika kaunti hii ya Pokot magharibi kuzingatia pakubwa elimu kwa ajili […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WASHUTUMIWA KWA KUENDELEZA UFISADI KATIKA MIRADI YA MAENDELEO.
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelaumiwa kufuatia kazi duni ambayo inafanyika kwenye miradi mbali mbali inayotekelezwa katika kaunti hii.Akizungumza katika mahojiano na kituo hiki seneta wa kaunti hii […]
-
UMUHIMU WA VYOO WASISITIZWA POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuzingatia umuhimu wa kujenga vyoo katika maboma yao.Akizungumza katika hafla ya kuangazia hatua ambazo zimepigwa katika kujenga vyoo eneo la Yualateke kwenye […]
-
BARABARA YA ATURKAN KAMATIRA YATARAJIWA KULETA MANUFAA KWA WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI.
Ujenzi wa barabara kuu ya kutoka Aturkan mjini Kitale kaunti ya Trans nzoia hadi Kamatira kaunti hii ya Pokot magharibi ambao unanuiwa kutekelezwa na mamlaka ya barabara kuu nchini KeNHA […]
-
MTOTO AMETELEKEZWA PAKUBWA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI; YASEMA LIONS.
Jamii haijafanya juhudi za kutosha katika kumshughulikia mtoto hasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi.Akizungumza katika maandalizi ya kuadhimisha siku ya mtoto wa kiafrika itakayoadhimishwa hiyo kesho jumatano, mwanachama wa […]
Top News