News
-
TRANS NZOIA YAPOKEA DAWA ZA KIMA CHA SHILINGI M 54.7 KUTOKA KEMSA.
Ni afueni kwa wenyeji wa Kaunti ya Trans Nzoia baada ya kaunti hiyo kupokea dawa za kima cha shilingi Milioni 54.7 kutoka mamlaka ya usambazaji dawa na vifaa vya matibabu […]
-
WAFANYIBIASHARA KONYAO WALALAMIKIA KUATHIRIWA NA WENZAO KUTOKA UGANDA.
Wafanyibiashara wa viazi kwenye soko la Konyao katika kaunti hii ya pokot magharibi wamelalamikia kuharibika bei ya bidhaa hiyo hali wanayoihusisha na viazi kutoka nchini Uganda.Wakiongozwa Rosana kashior wafanyibiashara hao […]
-
JAMII YA SENGWER YAAPA KUMSIMAMISHA GAVANA 2022.
Jamii ya Sengwer katika kaunti hii ya Pokot magharibi imelalamikia pakubwa kutengwa kwa muda mrefu katika siasa za kaunti hii licha ya kuwepo idadi kubwa ya watu wa jamii hiyo […]
-
WITO WA AMANI WASISITIZWA TAIFA LINAPOELEKEA KWENYE UCHAGUZI MKUU.
Wakazi wa kaunti hii ya pokot magharibi wametakiwa kudumisha amani hasa wakati huu ambapo taifa linaeleka katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao.Ni wito wake Mbunge wa Kapenguria Samwel Moroto ambaye […]
-
WAKAZI WA BUNGOMA WATAKIWA KUUNGA MKONO UDA.
Mbunge wa sirisia katika kaunti ya Bungoma John Waluke ametoa wito kwa viongozi na wananchi katika kaunti hiyo kujiunga na chama cha UDA kinachohusishwa na naibu rais William Ruto.Akizungumza katika […]
-
MALUMBANO YA UONGOZI FORD KENYA YAATHIRI MAENDELEO TRANS NZOIA NA BUNGOMA.
Kaunti za Trans nzoia na Bungoma hazijakuwa zikifanya vyema kutokana na malumbano ya uongozi katika chama cha Ford Kenya ambapo magavana wote wawili Patrick khaemba na wyclife wangamati wamechaguliwa kwa […]
-
WAKAZI WA SIYOI WAHIMIZWA KUWEKEZA ZAIDI KATIKA KILIMO.
Wakazi wa eneo la siyoi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kutia juhudi katika shughuli zao za ukulima ili kuimarika zaidi kiuchumi.Ni wito wake afisa mkuu katika wizara ya […]
-
SHUGHULI YA UCHIMBAJI MAFUTA TURKANA KUREJELEWA MWISHONI MWA MWAKA UJAO.
Wizara ya petroli na madini inaendeleza zoezi la kuwahusisha wananchi kuhusu mradi wa uchimbaji wa mafuta ghafi kaunti ya turkana kabla ya kurejelewa rasmi shughuli hiyo ambayo kwa sasa imesitishwa.Akizungumza […]
-
BUNGE LA BUNGOMA KUREJELEA VIKAO JUMA LIJALO BAADA YA KUFUNGWA KWA MUDA.
Bunge la kaunti ya Bungoma litaanza kujadili mswada wa bajeti wa mwaka 2021/2022 kuanzia wiki ijayo.Kiongozi wa wengi katika bunge hilo Joseph Nyongesa amesema kuwa bunge hilo litajadili mswada huo […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAPOKEZWA VIFAA VYA KUKAGUA ARDHI KIDIJITALI.
Mwenyekiti wa kamati ya ardhi, nyumba na maendeleo ya miji katika bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi Johnson Lokato amepongeza shirika la FAO pamoja na la umoja wa ulaya […]
Top News










