News
-
WALIMU WATAKIWA KUTOWAREJESHA NYUMBANI WANAFUNZI SHULE ZINAPOFUNGULIWA LEO.
Shule zinapofunguliwa leo kwa muhula wa kwanza miito imeendwelea kutolewa kwa serikali kuhakikisha kuwa wanafunzi wanasalia shuleni kuhudhuria masomo na kutoruhusu walimu wakuu kuwarejesha nyumbani kutafuta karo.Wa hivi punde kutoa […]
-
MASHARIKA YA KIJAMII YATAKA HAKI ZA WATOTO KULINDWA.
Ili kuhakikisha watoto na kinamama wanaodhulumiwa katika jamii wanapata haki, ni sharti kuwepo mikakati ya kudumu na ushirikiano baina ya mashirika yasiyokuwa ya kiserikali yanayoangazia maswala ya watoto pamoja na […]
-
HOSPITALI YA ST RAPHAEL MATISI YANUFAIKA NA SHILINGI MILIONI 4.1
Siku chache baada ya mbunge wa Saboti Caleb Amisi kuwasilisha mswada kwa kamati ya Afya katika bunge la Kitaifa kutaka bima ya afya ya Kitaifa NHIF kulipa Hospitali ya St […]
-
VIONGOZI WA DINI BUNGOMA WASHUTUMU VISA VYA UTEKAJI NYARA WA WATOTO.
Serikali imetakiwa kuchukua hatua za dharura na kukomesha visa vya utekaji nyara wa watoto na kisha kupatikana wakiwa wameuliwa.Wakiongozwa na mwenyekiti askofu Samwel Manyonyi, muungano wa wahubiri wa alliance of […]
-
‘TUPO TAYARI KUKABILI CORONA’ SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI.
Licha ya kulaumiwa kwa kutojiandaa kukabili janga la corona, serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi imesema kuwa imejiandaa kikamilifu kukabiliana na maambukizi ya virusi hivyo iwapo vitaripotiwa kuongezeka kaunti […]
-
WALIMU WATAKIWA KUZINGATIA MWONGOZO WA WIZARA YA ELIMU SHULE ZIKITARAJIWA KUFUNGULIWA.
Walimu wakuu katika kaunti ya Trans nzoia wametakiwa kuzingatia mwongozo wa wizara ya elimu sawa na kushauriana na wazazi jinsi ya kulipa karo ya wanafunzi.Mwakilishi wadi ya Sirende Alfred Weswa […]
-
KENYA SEED YATOA MSAADA WA VISODO KWA AJILI YA WANAFUNZI TRANS NZOIA.
Kama njia moja ya kuhakikisha mtoto wa kike anasalia shuleni bila ya matatizo ya kukosa taulo za hedhi, Kampuni ya uzalishaji mbegu Kenya seed imetoa msaada wa laki moja kwa […]
-
WAKULIMA WATAKIWA KUKUMBATIA KONDOO AINA YA DOPPER.
Wakulimakatika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia ufugaji wa kondoo aina ya Dopper.Akizungumza eneo la siyoi kaunti hii ya Pokot magharibi katika shughuli ya kutoa kondoo hao kwa makundi […]
-
MIMBA ZA MAPEMA ZASALIA KERO POKOT MAGHARIBI.
Takwimu za shirika la AMREF zinaashiria kuwa visa vya mimba za mapema katika kaunti hii ya Pokot magharibi zinazidi viwango vya kitaifa.Haya ni kwa mujibu wa mshirikishi wa shirika hilo […]
-
POGHISIO ASHUTUMU MIKUTANO YA AMANI KERIO VALLEY ISIYOZAA MATUNDA.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amekosoa mikutano ya amani ambayo imekuwa ikiandaliwa na viongozi kutoka katika kaunti za bonde la kerio ambazo zinashuhudia uvamizi unaotokana na […]
Top News