News
-
WAKULIMA SIYOI WAFUNZWA UMUHIMU WA KILIMO HAI.
Wakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kunufaika na mafunzo kutoka mashirika mbali mbali kuhusu mbinu za kilimo katika juhudi za kuhakikisha wanazingatia kilimo bora na kukabili baa la […]
-
MWANAFUNZI AOKOLEWA KUTOKA NDOA YA MAPEMA MTELO POKOT YA KATI.
Chifu wa eneo la seker kwa ushirikiano na naibu chifu wa mbara na chepkondol katika kaunti ndogo ya pokot ya kati kaunti hii ya pokot magharibi wamemwokoa mwanafunzi mmoja wa […]
-
VIONGOZI WATAKIWA KUKUMBATIA UAMUZI WA MAHAKAMA KUHUSU BBI.
Mahakama ya rufaa ikitarajiwa leo kutoa uamuzi kuhusu mchakato wa kufanyia katiba marekebisho kupitia mpango wa BBI miito imeendelea kutolewa kwa viongozi wa kisiasa kukubali matokeo ya kesi hiyo.Wakiongozwa na […]
-
MIUNDO MSINGI DUNI YATATIZA 100% YA WANAFUNZI KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA.
Huenda sera ya serikali kuhakikisha asilimia 100 ya wanafunzi wanaofanya mtihani wa kitaifa kwa darasa la nane KCPE wanajiunga na kidato cha kwanza ikakosa kuafikiwa kikamilifu.Haya ni kwa mujibu wa […]
-
MACHIFU TRANS NZOIA WATAKIWA KUKABILI POMBE HARAMU.
Machifu katika maeneo mbali mbali ya kaunti ya Trans nzoia wametakiwa kushirikiana na wadau wengine katika idara ya usalama kaunti hiyo kuhakikisha kuwa ugemaji wa pombe haramu pamoja na utumizi […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUONDOA SIASA KATIKA MIRADI YA SERIKALI.
Wito umetolewa kwa viongozi wa siasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi kukoma kuingiza siasa katika miradi ya serikali kwenye taasisi za umma ikiwemo vituo vya afya pamoja na taasisi […]
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WASHUTUMU KUFURUSHWA MASKWATA KATIKA ARDHI YA ADC.
Viongozi kutoka Kaunti ya Trans Nzoia wameitaka serikali kupitia wizara ya kilimo kuangazia upya kufurushwa kwa maskwata katika ardhi moja inayodaiwa kumilikiwa na shirika la ustawishaji Kilimo nchini ADC.Wakihutubu eneo […]
-
WAHUDUMU WA BODA BODA WATAKIWA KUWA MAKINI DHIDI YA WIZI WA PIKIPIKI.
Vijana katika kaunti hii ya Pokot magharibi wanaonunua pikipiki na kujiunga na sekta ya boda boda wametakiwa kuwa waangalifu na kuchukua tahadhari dhidi ya wizi wa pikipiki ambao umeripotiwa kuongezeka […]
-
NRT YAENDELEZA MAFUNZO KWA WAKULIMA POKOT MAGHARIBI.
Shirika la SEFA chini ya Northern Rangelands Trust NRT limeendelea kutoa mafunzo kwa wakulima katika kaunti hii ya Pokot magharibi kuhusu kilimo bora.Afisa katika shirika hilo Beatrice Hadeny amesema kuwa […]
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YAPOKEZWA DAWA ZA KIMA CHA SHILINGI M 44.6.
Ni afueni kwa wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi baada ya serikali ya kaunti hii kupokea dawa za kima cha shilingi milioni 44.6 kutoka kwa mamlaka ya kusambaza dawa […]
Top News










