News
-
VISA VYA UKEKETAJI VYENDELEA KURIPOTIWA POKOT MAGHARIBI.
Licha ya juhudi za serikali na mashirika mbalimbali ya kijamii kaunti hii ya Pokot magharibi kukabili visa vya ukeketaji imebainika kwamba visa hivyo vinaendelezwa kisiri.Hii ni baada ya mama mmoja […]
-
WAKULIMA WANUFAIKA NA MBOLEA YA BEI NAFUU KIMININI TRANS NZOIA.
Zaidi ya wakulima 41 kutoka ushirika wa KAMISSA eneo bunge la Kiminini wamepokea mbolea ya bei nafuu kupitia kwa mradi wa serikali kuu kwa ushirikiano na new KPCU ambapo wakulima […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA ATHARI ZA UKAME.
Mwakilishi wadi ya masol katika kaunti hii ya Pokot magharibi Ariong’o Loporna amelalamikia ongezeko la hali ya ukame eneo hilo.Akizungumza na kituo hiki Loporna amesema kuwa wakazi wengi wa eneo […]
-
CHAMA CHA UDA CHATAKIWA KUZINGATIA UWAZI KATIKA MCHUJO ELGEYO MARAKWET.
Wawaniaji wa viti mbalimbali katika kaunti ya Elgeyo marakwet kupitia chama cha UDA wamewataka wasimamizi wa uteuzi ulioratibiwa kufanyika siku ya alhamisi wiki hii kuhakikisha panakuwa na uwazi katika shughuli […]
-
BAJETI YA YATTANI YAKOSOLEWA NA MASHIRIKA YA KIJAMII
Mashirika ya kutetea haki za kibinadumu Kaunti ya Trans Nzoia yamekosoa bajeti iliyosomwa na waziri wa fedha Ukur Yatani wakisema bajeti hiyo imekosa kuangazia matakwa ya wakenya wengi.Wakiongozwa na Kefa […]
-
BARAZA LA WANAHABARI LAKUTANA NA WANAHABARI POKOT MAGHARIBI KUHUSU UCHAGUZI MKUU UJAO.
Baraza la wanahabari nchini limeandaa kikao na wanahabari wa kaunti hii ya pokot magharibi kuhusu utendakazi wao msimu huu wa siasa za uchaguzi mkuu wa mwezi agosti.Akizungumza baada ya kikao […]
-
WASIWASI WAKUMBA WAKULIMA TRANS NZOIA KUFUATIA KURIPOTIWA VIWAVI JESHI.
Wizara ya kilimo Kaunti ya Trans Nzoia imetangaza kuzuka kwa viwavi jeshi aina ya African fall army worm ambao wameripotiwa na wakulima maeneo mbalimbali Kaunti hiyo wakibainika kuwa hatari ikilinganishwa […]
-
KAMUREN ATIA SAINI MKATABA NA WASOMI BARINGO KUSINI KATIKA JUHUDI ZA KUPIGA JEKI AZMA YAKE KUHIFADHI KITI CHA UBUNGE ENEO HILO.
Mbunge wa Baringo kusini kwenye kaunti ya Baringo Charles Kamuren ameahidi kwamba uongozi wake utazingatia utoaji wa huduma kwa wakazi iwapo atachaguliwa afisini kwa mara ya pili katika uchaguzi wa […]
-
VIJANA WATAKIWA KUJIUNGA NA VYUO ANUWAI ILI KUPATA UJUZI WA KUJIAJIRI.
Mwakilishi wadi ya Statunga eneo bunge la Cherangani Kaunti ya Trans Dkt Daniel Kaburu amewahimiza vijana waliokamilisha masomo ya shule za upili na wale waliokosa karo ya kuendeleza masomo yao […]
-
TOFAUTI ZAENDELEA KUSHUHUDIWA BAINA YA GAVANA NA NAIBU GAVANA POKOT MAGHARIBI.
Naibu gavana kaunti hii ya Pokot magharibi Nicholas Atudonyang amemsuta vikali gavana John Lonyangapuo kwa kile amedai kuendeleza wizi wa fedha za umma huku wakazi wa kaunti hii wakihangaika kwa […]
Top News










