News
-
MIITO YA AMANI YATOLEWA IEBC IKIENDELEA KUWATANGAZA WASHINDI WA UCHAGUZI.
Miito imeendela kutolewa kwa wananchi kuendela kuwa na subira wakati tume ya uchaguzi IEBC inapoendelea kusubiriwa kutangaza matokeo ya wawaniaji wa viti mbali mbali katika shughuli ya upigaji kura ambayo […]
-
LUMUNOKOL ASHUTUMU VURUGU ZILIZOSHUHUDIWA NASOKOL
Mbunge wa Kacheliba ambaye ni mwenyekiti wa chama cha UDA katika kaunti hii ya Pokot magharibi Mark Lumnokol ameshutumu kisa cha kupatikana mwanamke mmoja akitia saini makaratasi ya kupigia kura […]
-
CHAGUZI ZA UBUNGE POKOT KUSINI NA KACHELIBA ZAAHIRISHWA.
Uchaguzi maeneo bunge ya kacheliba na Pokot kusini katika kaunti hii ya Pokot magharibi umesitishwa.Kulingana na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi IEBC Wafula Chebukati uamuzi huo uliafikiwa kufuatia mkanganyiko kwenye […]
-
WAKENYA WAINGIA DEBENI HUKU IDARA YA POLISI IKIWAHAKIKISHIA USALAMA.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wanapoendelea kujitokeza katika shughuli ya upigaji kura idara ya polisi kaunti hii imetoa wito kwa wote wanaoshiriki zoezi hilo kuhakikisha kuwa wanarejea makwao […]
-
HALI YA USALAMA YATIWA KWENYE MIZANI BONDE LA KERIO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU.
Uchaguzi mkuu wa agosti 9 ukitarajiwa kuandaliwa hapo kesho, waathiriwa wa uvamizi katika eneo bunge la baringo kaskazini na kusini sasa wanaitaka serikali kuimarisha usalama katika maeneo hayo ili kuwawezesha […]
-
MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU JUMANNE YAKAMILIKA.
Masaa machache tu kabla ya uchaguzi mkuu wa jumanne juma hili tume ya uchaguzi IEBC imesema kuwa maandalizi yamekamilika kwa ajili ya uchaguzi huo.Afisa wa tume hiyo eneo bunge la […]
-
MIITO YA AMANI YAENDELEA KUTOLEWA CHINI YA MASAA 24 KABLA YA UCHAGUZI WA JUMANNE.
Ikiwa yamesalia chini ya masaa machache tu kabla ya uchaguzi mkuu wa hapo kesho jumanne, viongozi kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kutoa wito kwa wananchi kudumisha amani ili kuwe […]
-
MIITO YA KUDUMISHWA AMANI YAZIDI KUTOLEWA SIKU 4 TU KABLA YA UCHAGUZI MKUU.
Siku nne tu kabla ya uchaguzi mkuu wa jumanne juma lijalo mwaniaji ugavana katika kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia chama cha UDA Simon Kachapin ametoa wito kwa wakazi wa […]
-
IEBC YAWAHAKIKISHIA WAKENYA KUKAMILIKA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU.
Tume huru ya uchaguzi nchini IEBC imewahakikishia wakenya kuwa maandalizi yote yamekamilika kuelekea uchaguzi mkuu wa wiki ijayo.Akizungumza katika mahojiano na kituo hiki afisa msimamizi wa uchaguzi wa tume hiyo […]
-
TAHARUKI YAENDELEA KUTANDA OMBOLION MTU MMOJA AKIULIWA NA WAVAMIZI.
Hali ya taharuki imetanda katika eneo la ombolion, turkwel mpakani mwa kaunti za pokot magharibi na turkana baada ya kijana wa miaka 18 kuuliwa na wavamizi wanaoshukiwa kutoka kaunti jirani […]
Top News










