Author: Charles Adika
-
-
REGGAE 1065
As usual the best reggae show is here for you,Alfamash & Dj Rayyiz got you covered.
-
JAMII YA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI NI JAMII SALAMA
Dunia inafaa kubadili mtazamo wao kuhusu kaunti hii ya pokot magharibi.Haya ni kwa mujibu wa mwakilishi kina mama kaunti Hii Lilian Tomitom ambaye amesema kuwa ni watu wachache tu ambao […]
-
WAKUU WA USALAMA KAUNTI YA NAKURU KUWAKABILI WALE AMBAO WANAKIUKA MASHARTI YA KUZUIA MAAMBUKIZI YA CORONA
Wakuu wa usalama kaunti ya Nakuru wameapa kuendeleza msako wa watu wanaokiuka masharti yaliyowekwa na serikali ili kukabili msambao wa virusi vya korona.Naibu kamishna eneo la Nakuru mashariki Erick Wanyonyi […]
-
PILKA PILKA
Ungana naye Angela Cherono pamoja na Marango Kizito Macho kwanzia saa nne asubuhi hadi saa nane mchana
-
-
-
UPANZI WA MITI KATIKATI YA MJI WA KITALE WAZINDULIWA
Shirika moja la Kimazingira Kaunti ya Trans-Nzoia kwa jina kipsaina cranes and wetlands conservation Group wakishirikiana na vijana wa kazi mtaani wamezindua kampeni ya upanzi wa miti katikati mwa mji […]
-
POKOT MAGHARIBI YATAJWA MIONGONI MWA KAUNTI ZILIZOSAJILI WANAFUNZI WA UMRI MDOGO WALIOFANYA MTIHANI WA KCPE
Kaunti ya Pokot magharibi imekuwa miongoni mwa kaunti tano ambazo ziliwasajili wanafunzi wa KCPE wenye umri wa chini ya miaka kumi na miwili na kuwa na idadi ya watahiniwa mia […]
-
SHULE YA ST MARYS YATOA MWANAFUNZI BORA WA KCPE KUFIKIA SASA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Walimu wazazi na wanafunzi wa shule mbali mbali kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kusherehekea matokeo bora ya mtihani wa kitaifa kwa darasa la nane KCPE yaliyotangazwa rasmi hiyo jana […]
Top News







