Author: Charles Adika
-
WAZEE TRANS NZOIA WATAKA CHANJO YA CORONA KUTOLEWA MAENEO YA MASHINANI
Wazee katika kaunti ya Trans nzoia wametoa wito kwa wizara ya afya kuhakikisha kuwa chanjo dhidi ya virusi vya corona inatolewa katika maeneo ya mashinani ili kuepuka umma ambapo huenda […]
-
WAKULIMA KAUNTI YA TRANS NZOIA WALALAMIKIA KUPANDA GHARAMA YA KILIMO
Viongozi kaunti ya Trans-nzoia wanamtaka waziri wa kilimo Peter Munya na kamati ya kushughulikia maswala ya kilimo katika bunge la kitaifa kuingilia kati na kuwanusuru wakulima kutokana na kupanda maradufu […]
-
MWANAMKE ABAKWA NA KUULIWA MTAANI MATHARE MAKUTANO KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Mwanamke mmoja mama ya mtoto mmoja ameaga dunia baada ya kubakwa usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Mathare viungani mwa mji wa Makutano kaunti hii ya Pokot Magharibi.Ni kisa […]
-
-
WANACHAMA WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA METROPOLITAN KAUNTI YA BUNGOMA WATISHIA KUJIONDOA
Walimu wanachama wa chama cha ushirika cha metropolitan katika kaunti ya Bungoma wametishia kujiondoa katika chama hicho kufuatia madai ya kunyanyaswa na kupewa viwango vya chini vya riba licha ya […]
-
WANAOWABAKA WATOTO KUTOPEWA MSAMAHA WA RAIS
Aliyekuwa mwakilishi wadi mteule eneo la Endebes kaunti ya Trans nzoia Benedine Omondi anapendekeza watu wanaopatikana na makosa ya kuwabaka watoto wachanga kutopokea msamaha wa rais. Omondi amesema washukiwa wa […]
-
ONGEZEKO LA PEMBEJEO ZA KILIMO NA BEI YA MAFUTA LAZUA HOFU MIONGONI MWA WAKULIMA TRANS NZOIA
Kuendelea kupanda kwa bei ya pembejeo na kuongezwa kwa bei ya mafuta msimu huu wa upanzi huenda kukapelekea wakulima wengi kushindwa kumudu gharama ya kilimo, hivyo kuathiri pakubwa uzalishaji wa […]
-
WAKULIMA WATAKIWA KUWA WAANGALIFU DHIDI YA MBEGU GHUSHI
Wakulima kaunti hii ya Pokot Magharibi na taifa jirani la Uganda wametakiwa kuwa waangalifu msimu huu wa upanzi dhidi ya kununua mbegu ghushi ambazo zinauzwa na wafanyibiasha walaghai. Akizungumza na […]
-
PILKA PILKA
Ungana naye Angela Cherono pamoja na Marango Kizito Macho kwanzia saa nne asubuhi hadi saa nane mchana
-
Top News