Author: Charles Adika
-
WAKULIMA WATAHADHARISHWA DHIDI YA KUNUNUA MBEGU GHUSHI.
Wakulima nchini wameshauriwa kununua mbegu zao katika maduka na maajenti walioidhinishwa na kampuni ya mbegu nchini Kenya seed kama njia moja ya kukabili matapeli wanaosambaza mbegu ghushi kwa wakulima nchini.Akizungumza […]
-
WAUGUZI TRANS NZOIA WATAKA IDADI YAO KUONGEZWA
Serikali ya kaunti ya Trans-nzoia imetakiwa kuajiri wa uguzi zaidi ili kusaidia kukabiliana na magonjwa mbali mbali ikiwa ni pamoja na janga la covid 19 kwani kwa sasa serikali ya […]
-
KILIO CHA WAKAZI WA KACHELIBA KUHUSU BARABARA CHAJIBIWA
Siku chache tu baada ya wakazi wa Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi kulalamikia hali mbovu ya barabara ya kutoka Kacheliba hadi Nakuyen, mwakilishi wadi wa eneo hilo Robert Komole ametoa […]
-
WAUMINI WA KIISLAMU POKOT MAGHARIBI WAPOKEA MSAADA WANAPOADHIMISHA EID UL FITR
Waumini wa dini ya kiislamu kaunti hii ya Pokot magharibi wamepokea msaada wa chakula kutoka viongozi mbali mbali kaunti hii wanapokamilisha mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhan hii leo. Akiwasilisha […]
-
-
-
WATAKAOKOSA NAFASI KATIKA VYUO VIKUU WATAKIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA KIUFUNDI
Wakuu wa shule katika kaunti ya Trans nzoia ambao shule zao zilitia fora katika mtihani wa KCSE wamewahimiza watahiniwa ambao watakosa nafasi za kujiunga na vyuo vikuu kutokata tamaa na […]
-
KISIERO APONGEZA MATOKEO YA KCSE ENEO LA ENDEBES TRANS NZOIA
Mwakilishi wadi wa Endebess ambaye pia ni kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti ya Trans-nzoia ameelezea kuridhishwa kwake kutokana na matokeo bora ambayo yamesajiliwa katika shule mbalimbali katika mtihani […]
-
EACC YASHUTUMIWA KWA KUFUFUA UPYA KESI INAYOHUSU UNUNUZI WA MAHINDI POKOT MAGHARIBI
Wanaharakati katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameshutumu tume ya maadili na kukabili ufisadi EACC kwa kufungua upya kesi inayohusu ununuzi wa mahindi uliotekelezwa na serikali ya kaunti hii ya […]
-
MATOKEO YA KCSE YAENDELEA KUSHEREHEKEWA POKOT MAGHARIBI
Walimu wa shule mbali mbali katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kupongeza matokeo bora katika mtihani wa kitaifa kwa kidato cha nne KCSE ambayo yalitangazwa jumatatu na waziri wa […]
Top News