Author: Charles Adika
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA MIPAKANI PA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI NA ELGEYO MARAKWET.
Serikali imetakiwa kuweka mikakati ya kuhakikisha usalama unaafikiwa maeneo ya mpakani pa kaunti hii ya pokot magharibi na kauntijirani ya Elgeyo marakwet ili kuruhusu kurejelewa shughuli za masomo maeneo hayo.Seneta […]
-
-
-
-
-
-
‘WEZI WA MAJI’ WAKAMATWA TRANS NZOIA.
Washukiwa kumi na sita akiwemo mshukiwa mkuu anayeunganisha maji kinyume cha sheria katika kaunti ya transnzoia wamekamatwa ikisemekana kwamba ni mafundi wa kibinafsi wanaolaumiwa kutokana na ongezeko la visa vya […]
-
KONTENA ZA BIASHARA MAKUTANO ZAELEKEA KUKAMILIKA.
Matayarisho ya kontena za kufanyia biashara mjini makutano katika kaunti hii ya Pokot magharibi yanaelekea kukamilika .Haya ni kwa mujibu wa afisa katika wizara ya biashara kaunti hii Lucy Lipale […]
-
UKEKETAJI NA NDOA ZA MAPEMA ZASALIA KIZUNGUMKUTI POKOT MAGHARIBI.
Licha ya juhudi za kukabili visa vya ukeketaji na ndoa za mapema katika kaunti hii ya Pokot magharibi imebainika visa hivi vingali kero miongoni mwa jamii.Hii ni baada msichana mmoja […]
-
SEKTA YA BODABODA YAPUNGUZIWA USHURU POKOT MAGHARIBI.
Wahudumu wa boda boda katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamepata afueni baada ya serikali ya kaunti kuwapunguzia ushuru wanaolipa kutoka shilingi 300 hadi shilingi 200.Akitoa tangazo hilo gavana John […]
Top News










