Author: Charles Adika
-
WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTIA JUHUDI KATIKA SHUGHULI ZAO ZA KILA SIKU.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuendelea kutia juhudi katika shughuli zao mbali mbali mwaka huu licha ya changamoto ambazo wamekumbana nazo mwaka jana.Seneta wa kaunti hii Samwel […]
-
UONGOZI WA GAVANA LONYANGAPUO WAZIDI KUKOSOLEWA.
Uongozi wa gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi umeendelea kukosolewa na viongozi mbali mbali kutoka kaunti hii miezi michache tu kabla ya kukamilika muhula wake wa kwanza ambao amehudumu […]
-
WABUNGE WA FORD KENYA WAAPA KUPITISHA MSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA VYAMA.
NA BENSON ASWANIWabunge wanaoegemea chama cha Ford Kenya katika kaunti ya Trans nzoia wameapa kuhakikisha kuwa mswada wa marekebisho ya sheria za vyama unapitishwa vikao vya bunge kuendelea kujadili mswada […]
-
MALUMBANO YAENDELEA KATI YA NATEMBEYA NA CHRIS WAMALWA KUHUSU UONGOZI WA TRANS NZOIA.
Mshirikishi wa serikali eneo la Bonde la ufa George Natembeya amepuuza juhudi za mpinzani wake katika kinyang’anyiro cha kiti cha ugavana wa kaunti ya Trans nzoia kwenye uchaguzi mkuu wa […]
-
-
-
-
-
VIONGOZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAITAKA SERKALI YA KITAIFA KUWACHUKULIA HATUA WALIOHUSIKA NA MAUJI ENEO LA CHESOGON
Katibu katika wizara ya michezo, utamaduni na toradhi za kitaifa Simon Kachapin ameelezea kusikitishwa na utovu wa usalama ambao umeendelea kushuhudiwa mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti […]
Top News








