Author: Charles Adika
-
FORD KENYA CHAPATA PIGO HUKU DAP-K KIKIVUNA PAKUBWA TRANS NZOIA.
Chama cha Ford Kenya kimepata pigo baada ya waakilishi wadi kadhaa akiwemo David Kisaka wa Kiminini na Benard Mlipuko wa Kapomboi katika kaunti ya Trans nzoia kuhama chama hicho na […]
-
VITENGO VYA USALAMA VYATAKIWA KUWA MAKINI MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI.
Seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewataka wadau katika sekta ya usalama kuwa makini na kudumisha usalama katika mipaka ya kaunti hii ya pokot magharibi na kaunti […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YASHUTUMIWA KWA KUITELEKEZA HOSPITALI YA KAPENGURIA.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi imeendelea kushutumiwa kwa kuitelekeza sekta ya afya hasa hospitali ya Kapenguria ambako kunatajwa kutolewa huduma duni za matibabu kufuatia ukosefu wa vifaa vya […]
-
WADAU WAHIMIZA KUREJESHWA KITENGO CHA NPR BONDE LA KERIO.
Kurejeshwa kwa kitengo cha polisi wa akiba NPR ndio suluhu ya kudumu kwa tatizo la utovu wa usalama kwenye eneo bunge la baringo kusini na vile vile kaunti ya baringo […]
-
JAMII TRANS NZOIA YAHIMIZWA KUTUNZA MISITU.
Zaidi ya washikadau 300 kutoka sekta ya utalii na mazingira wameshiriki matembezi ya kilomita 7 katika mbuga ya kitaifa ya Saiwa ili kuhamasisha kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazingira ili kuzuia […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUWA MAKINI MSIMU HUU WA KRISMASI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa makini zaidi barabarani wakati wanaposafiri kuungana na jamaa zao msimu huu pamoja na kuhakikisha kuwa wanadumisha amani.Akiwatakia wakazi wa kaunti hii […]
Top News







