Author: Charles Adika
-
KANISA LA ACK KAPENGURIA LAPATA DAYOSISI MPYA HUKU MIZOZO YA MUDA IKITARAJIWA KUFIKA KIKOMO.
Huenda migogoro ambayo imekuwa ikishuhudiwa katika kanisa la kianglikana dayosisi ya kaunti hii ya pokot magharibi ikafika mwisho.Haya ni kulingana na seneta wa kaunti hii ya pokot magharibi Samwel Poghisio […]
-
AFISA WA POLISI AZUILIWA KAPENGURIA KWA TUHUMA ZA KUJARIBU KUMBAKA MWANAFUNZI.
Afisa mmoja wa polisi kutoka kituo cha polisi cha Kabichbich kaunti hii ya Pokot magharibi anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Kapenguria kwa tuhuma za kujaribu kumbaka mwanafunzi wa darasa […]
-
WANAOPACHIKA MIMBA WANAFUNZI KIPKOMO WAONYWA.
Onyo kali imetolewa kwa watu wenye hulka ya kuwapachika mimba wanafunzi kuwa vitengfo vya usalama viko macho na atakayepatikana hatia ya kutekeleza uovu huo atakabiliwa vikali kulingana na sheria.Mkurugenzi wa […]
-
MIFUGO WALIOIBWA BARINGO WAREJESHWA
NA BENSON ASWANIMaafisa wa usalama kwa ushirikiano na wakazi wa eneo la kinyach kwenye eneo bunge la baringo kaskazini kaunti ya Baringo wamefanikiwa kuwarejesha takriban ng’ombe 40 waliokuwa wameibiwa na […]
Top News







