Author: Charles Adika
-
ONYO YATOLEWA KWA WANAOWAOZA WATOTO KACHELIBA.
Mikakati mbali mbali ambayo inawekwa na idara ya usalama eneo la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi imechangia kupungua pakubwa visa vya ndoa za mapema na ukeketaji eneo hilo.Anavyotujuza […]
-
HOSPITALI YA KACHELIBA YAKANUSHA MADAI YA UHABA WA DAWA.
Siku chache tu baada ya wakazi kutoka eneo la kacheliba kaunti hii ya pokot magharibi kulalamikia huduma duni katika hospitali ya kacheliba kufuatia uhaba wa dawa, uongozi wa hospitali hiyo […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUENDELEA KUJITOKEZA KUSAJILIWA KUWA WAPIGA KURA.
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kutoa wito kwa wakazi kujitokjeza kwa wingi kusajiliwa kuwa wapiga kura katika zoezi linaloendelezwa na tume ya uchaguzi na uratibu wa mipaka […]
-
AFISI YA USAJILI WA WATU TRANS NZOIA YATAKIWA KUHARAKISHA ZOEZI LA UTOAJI VITAMBULISHO.
Wito umetolewa kwa afisi ya usajili wa watu kuharakisha mchakato wa kutoa vitambulisho kwa vijana ili ili wapate nafasi ya kujisajili kuwa wapiga kura kwenye awamu ya pili ya usajili […]
Top News








