Author: Charles Adika
-
WAHUDUMU WA BODA BODA TRANS NZOIA WATISHIA KUTOLIPA USHURU KUFUATIA AHADI ZA ‘UONGO’ ZA GAVANA KHAEMBA.
Wahudumu wa boda boda katika Kaunti ya Trans Nzoia wametishia kutolipa ushuru na vile vile kufanya maandamano juma lijalo kutokana na kile wamedai ahadi za uongo za Gavana Patrick Khaemba […]
-
KITALAWIAN AJIUZULU NA KUTANGAZA KUWANIA UBUNGE SIGOR.
Waziri wa maji, mazingira na mali asili katika kaunti hii ya Pokot magharibi Francis Kitalawian amejiuzulu katika wadhifa huo.Kitalawian amejiuzulu kulingana na takwa la kisheria ili kuwania kiti cha ubunge […]
-
MSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA UCHAGUZI WAENDELEA KUIBUA HISIA NCHINI.
Viongozi mbali mbali wa kisiasa nchini wameendelea kupinga mswada wa marekebisho kuhusu sheria za uchaguzi ambao tayari umewasilishwa bungeni na kiongozi wa wengi katika bunge la kitaifa Amos Kimunya.Wa hivi […]
-
MIGAWANYIKO YAENDELEA KATIKA BARAZA LA WAZEE WA KEIYO KUHUSU KUIDHINISHWA JOSEPH BOINET KUWANIA UGAVANA ELGEYO MARAKWET.
Siku chache baada ya wazee wa jamii ya keiyo kumwidhinisha aliyekuwa inspekta mkuu wa polisi Joseph Boinet kuwania kiti cha ugavana katika kaunti ya Elgeyo marakwet, baadhi ya wazee na […]
-
ATWOLI ASUTWA BARINGO KUFUATIA KAULI YAKE KUHUSU RUTO
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Baringo wamemsuta katibu mkuu wa muungano wa wafanyakazi nchini COTU Francis Atwoli kutokana na kauli yake kwamba naibu rais Dkt William Ruto anaweza kujitia […]
Top News








