Author: Charles Adika
-
MATAMSHI YA MBUNGE WA EALA KUHUSU KUJIHAMI KWA BUNDUKI WAKAZI WA BARINGO YAIBUA HISIA KALI.
Wakazi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kuelezea gadhabu zao kufuatia video ambayo imeenea mitandaoni ikimwonyesha mbunge katika bunge la Afrika mashariki EALA Florence Jematia akipendekeza wakazi wa kaunti […]
-
SERA YA ASILIMIA 100 YA WANAFUNZI WANAOJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA YAPELEKEA CHANGAMOTO KATIKA SHULE ZA UPILI.
Sera ya serikali kuhakikisha asilimia 100 ya wanafunzi ambao wanajiunga na kidato cha kwanza imepelekea ongezo kubwa la wanafunzi katika shule za upili hali ambayo pia imekuja na changamoto mbali […]
-
WEZI WA MIFUGO BONDE LA KERIO WAAHIDIWA MAKABILIANO MAKALI.
Mshirikishi wa usalama katika ukanda wa bonde la ufa mohammed maalim ametoa onyo kali kwa wahalifu wanaoendeleza uvamizi na wizi wa mifugo katika eneo la bonde la kerio.Akiongea katika eneo […]
-
MIGAWANYIKO YAANZA KUSHUHUDIWA KATIKA MUUNGANO WA KENYA KWANZA.
Baadhi ya wanachama wa muungano wa kenya kwanza Trans nzoia wamesuta matamshi ya mwenyekiti wa UDA Johnstone Muthama aliotoa juzi wakidai huenda ikaleta mshike mshike chamani humo.Wakiongozwa na luke naibei […]
-
NDMA YAENDELEZA UTATHMINI WA ATHARI ZA MSIMU WA MVUA POKOT MAGHARIBI.
Mamlaka ya kushughulikia majanga NDMA katika kaunti hii ya Pokot magharibi inaendeleza utathmini wa athari za msimu wa mvua uliokamilika ili kubaini athari za mvua hiyo katika sekta mbali mbali […]
Top News








