Author: Charles Adika
-
MTAMBO WA SOLA ULIOIBWA WATAPATIKANA UMETUPWA NDANI YA SHULE YENYEWE
Siku moja tu baada ya kituo hiki kuangazia wizi wa mitambo miwili ya sola katika shule ya wasichana ya St Bakhita eneo bunge la kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi, […]
-
VIONGOZI WASHAURIWA KUDUMISHA AMANI WAKATI HUU WA KAMPEINI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Baadhi ya wakazi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameelezea kughadhabishwa na kile wamedai hatua ya viongozi wa kaunti hii kuegemea siasa pakubwa na kutelekeza miradi ya maendeleo ya kuwanufaisha […]
-
‘CHAMA CHA KANU KINGALI IMARA POKOT MAGHARIBI.’ ASEMA ATUDONYANG.
Chama cha KANU kingali imara katika kaunti hii ya Pokot magharibi licha ya kuibuka vyama mbali mbali kueleka uchaguzi mkuu wa mwezi agosti mwaka huu.Akizungumza na kituo hiki kutoka mjini […]
-
WIZI WA MITAMBO YA SOLA SHULENI KACHELIBA VYAKITHIRI.
Visa vya wizi wa mitambo ya sola shuleni vimeripotiwa kukithiri eneo la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi shule ya wasichana ya St Bakhita ikiathirika pakubwa na wizi huo.Kulingana […]
-
BISAU AJIONDOA KWENYE KINYANG’ANYIRO CHA UGAVANA TRANS NZOIA NA KUMUUNGA MKONO NATEMBEYA.
Katibu wa miundo msingi katika afisi ya naibu rais Willaim Ruto Kakai Bisau amejiondoa katika kinyang’anyiro cha ugavana kaunti ya Trans nzoia na badala yake kutangaza kuwania kiti cha ubunge […]
Top News






