Author: Charles Adika
-
ODM CHAKANA KUWEPO MKATABA KATI YAKE NA KUP.
Mwenyekiti wa Chama Cha ODM katika Kaunti ya Pokot Magharibi Joseph Akaule ameweka bayana kwamba hakujakuwapo na maelewano baina ya Chama hicho na Chama Cha KUP chake gavana John Lonyangapuo.Wakihojiwa […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUTEKELEZA JUKUMU LA KUDUMISHA NIDHAMU MIONGONI MWA WANAO.
Wito umetolewa kwa wazazi katika kaunti hii ya Pokot magaribi kushirikianba na walimu katika kuhakikisha nidhamu miongoni kwa wanafunzi.Naibu mwalimu mkuu wa shule ya upili ya Chepkono Jodina Wekesa amesema […]
-
VIONGOZI WA KISIASA BONDE LA KERIO WATAKIWA KUCHUNGA NDIMI ZAO.
Jamii za kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet zimetakiwa kuishi kwa amani na kujitenga na visa vianvyosababisha utovu wa usalama hasa wakati huu ambapo taifa […]
-
RAIS ATAKIWA KUANGAZIA HALI TETE YA USALAMA ENEO LA KERIO VALLEY.
Baadhi ya viongozi kwenye kaunti ya elgeyo marakwet wamemshutumu rais uhuru kenyatta kwa kusalia kimya kuhusu swala la utovu wa usalama kwenye eneo la bonde la kerio ambalo limechangiwa na […]
-
WADAU WATAKIWA KUSHIRIKIANA KUHIFADHI VYANZO VYA MAJI TRANS NZOIA.
Ipo haja ya ushirikiano baina ya serikali, wananchi na washikadau katika sekta ya mazingira ili kuhifadhi Chemichemi na vyazo vya maji katika Kaunti ya Trans-Nzoia.Akihutubu kwenye maadhimisho ya siku ya […]
Top News








