Author: Charles Adika
-
TUME YA UCHAGUZI IEBC WATAKIWA KUBATILISHA HITAJI LA VYETI VYA MASOMO KATIKA KUWANIA VITI VYA KISIASA.
Baadhi ya wagombea wa viti mbali mbali vya kisiasa katika uchaguzi mkuu wa mwezi agosti mwaka huu sasa wanaitaka tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kubatilisha hitaji la vyeti […]
-
WAKAZI TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUWANGAZIA SERA ZA WANASIASA WALA SI VYAMA.
Ikiwa imesalia takriban miezi sita kabla ya uchaguzi mkuu wa terehe 9 mwezi agosti, wakazi katika kaunti ya Trans nzoia wameshauriwa kuangazia sera za wawaniaji wa nyadhifa za uongozi na […]
-
POGHISIO AKASHIFU UVAMIZI UNAOSHUHUDIWA MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA.
Seneta wa Kaunti ya Pokot Magharibi Samuel Poghisio ameukashifu visa vya uvamizi ambavyo vimeendelea kushuhudiwa katika Eneo la Kainuk mipakani pa Kaunti hii ya Pokot Magharibi na Turkana, akisema kwamba […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUDHIBITI USALAMA MIPAKANI PA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI NA ELGEYO MARAKWET.
Viongozi kutoka kaunti ya pokot magharibi sasa wanaitaka serkali kuingilia kati na kudhibiti hali ya usalama katika eneo la kaunti za baringo pokot na elgeyo marakwet ili kuhakikishia wakaazi wa […]
Top News









