Author: Charles Adika
-
SPIKA AKANA KUWEPO MIPANGO YA KUWAZUIA BAADHI YA WABUNGE KUHUDHURIA VIKAO POKOT MAGHARIBI.
Vikao vya bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi vikitarajiwa kurejelewa hii leo spika wa bunge hilo Catherine Mukenyang amepinga madai ya kuwepo mipango ya kuwazuilia baadhi ya wabunge kuhudhuria […]
-
ANG’ELEI APUUZILIA MBALI MADAI KUWA AMEJIUNGA NA CHAMA CHA KUP.
Mwakilishi wadi ya Batei katika kaunti hii ya Pokot magharibi Solomon Ang’elei amepuuzilia mbali madai kuwa ni mwanachama wa chama cha KUP kinachoongozwa na gavana wa kaunti hii John Lonyangapuo […]
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WAPINGA MABADILIKO KUHUSU SHERIA ZA UCHAGUZI.
Baadhi ya viongozi kutoka Kaunti ya Trans Nzoia wamepinga vikali hatua ya baadhi ya wabunge wa kitaifa kutaka kubadili sheria za usimamizi wa uchaguzi na kurejesha mfumo wa zamani wa […]
-
TRANS NZOIA YASAJILI ASILIMIA 32 YA WAPIGA KURA.
Asilimia 68 ya wapiga kura waliolengwa kusajiliwa kuwa wapiga kura wapya katika kaunti ya Trans nzoia kwenye zoezi la usajili wa wapiga kura wapya ambalo lilikamilika tarehe 6 mwezi huu […]
Top News








