Author: Charles Adika
-
VIONGOZI WAHIMIZA AMANI KAINUK POKOT MAGHARIBI.
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kuhimiza wakazi wa eneo la Kainuk mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na Turkana kukumbatia amani na kujitenga na visa vya […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUKUMBATIA MTAALA WA CBC.
Wito umetolewa kwa wazazi kukumbatia mtaala mpya wa elimu CBC unaotajwa kuwa wenye manufaa makubwa kwa wanafunzi.Wakiongozwa na Albert Maindi mwalimu mkuu wa shule ya msingi ya makutano Central na […]
-
TUME YA UCHAGUZI IEBC WATAKIWA KUBATILISHA HITAJI LA VYETI VYA MASOMO KATIKA KUWANIA VITI VYA KISIASA.
Baadhi ya wagombea wa viti mbali mbali vya kisiasa katika uchaguzi mkuu wa mwezi agosti mwaka huu sasa wanaitaka tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kubatilisha hitaji la vyeti […]
-
WAKAZI TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUWANGAZIA SERA ZA WANASIASA WALA SI VYAMA.
Ikiwa imesalia takriban miezi sita kabla ya uchaguzi mkuu wa terehe 9 mwezi agosti, wakazi katika kaunti ya Trans nzoia wameshauriwa kuangazia sera za wawaniaji wa nyadhifa za uongozi na […]
Top News









