Author: Charles Adika
-
WANAFUNZI 496 WAREJESHWA SHULENI KUFUATIA OPARESHENI ILIYOENDESHWA KACHELIBA.
Zaidi ya wanafunzi 400 katika kaunti ndogo ya kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi waliweza kurejeshwa shuleni katika oparesheni iliyoendeshwa eneo hilo na wadau wa elimu kwa ushirikiano na shirika […]
-
VISA VYA KUJIFUNGUA WATAHINIWA KATIKA MITIHANI LATARAJIWA KUPUNGUA MWAKA HUU.
Swala la watahiniwa wa kike kufanya mitihani ya kitaifa wakiwa wajawazito linatarajiwa kupungua pakubwa kwenye baadhi ya shule katika kaunti hii ya pokot magharibi mwaka huu ikilinganishwa na jinsi ilivyoshuhudiwa […]
-
WAZAZI ELGEYO MARAKWET WAHIMIZWA KUWATUNZAA WANAO DHIDI YA MAHUSIANO YA KIMAPENZI.
Mwakilishi wadi maalum katika bunge la kaunti ya Elgeyo Marakwet Moreen Masit amewahimiza wazazi kaunti hiyo kuwashauri wanao hasa wasichana dhidi ya kujiingiza katika mahusiano ya kimapenzi wakiwa wachanga.Masit ametaja […]
-
UNYAKUZI WA ARDHI WAKITHIRI KABARNET, BARINGO.
Gavana Kaunti ya Baringo Stanley Kiptis amelalamikia visa vya unyakuzi wa ardhi ya umma ambavyo vimetekelezwa na watu binafsi na mabwenyenye hasa viungani mwa mji wa Kabarnet.Akiongea wakati wa kuzindua […]
Top News







