Author: Charles Adika
-
MAJAMBAZI WAWAJEUHI MAAFISA WA POLISI NA MENEJA WA BENKI YA COOPERATIVE MJINI KIMILILI KAUNTI YA TRANSNZOIA NA KUTOWEKA NA MILIONI 25.
Maafisa wa polisi wawili ambao walikuwa wakisafirisha fedha za wakulima wa kahawa kutoka benki ya cooperative mjini Bungoma hadi chama cha ushirika cha Kimilili mjini, pamoja na meneja wa chama […]
-
SERIKALI YAOMBWA KUINGILIA KATI NA KUREJESHA NGUVU ZA UMEME ENEO LA CHEMELEI KAUNTI HII YA POKOT MAGHARIBI
Wakazi wa eneo la chemelei kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia ukosefu wa umeme eneo hilo hali wanayosema kuwa imewapelekea kukwama shughuli zao nyingi.Changamoto ya nguvu za umeme katika eneo […]
-
WALIMU WAKUU WAMEONYWA DHIDI YA KUJIHUSISHA NA MASWALA YA WIZI MITIHANI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Maandalizi yote kwa ajili ya mitihani ya kitaifa mwaka huu kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la nane KCPE na wale wa kidato cha nne KCSE ambayo inaanza mwezi huu […]
-
VIONGOZI MBALIMBALI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WANAZIDI KUMLAUMU RAIS UHURU KENYATA
Hatua ya rais Uhuru kenyatta kutangaza wazi kumuunga mkono kinara wa chama cha ODM Raila Odinga kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwezi agosti imeendelea kuibua hisia miongoni mwa viongozi […]
Top News







