Author: Charles Adika
-
VIONGOZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAMETAKIWA KUINGILIA KATI NA KUOKOA HALI YA HOSPITALI YA KAPENGURIA INAYO ANGAMIA
Hali ya Hospitali ya Rufaa ya Kapenguria inazidi kudorora huku wakazi wakiendelea kuhangaika kwa kutafuta dawa na matibabu kutoka kwenye hospitali za binafsi.Baada ya udadisi kutoka kwa kituo hiki cha […]
-
CHAMA CHA KANU KITAPATA UUNGWAJI MKUBWA KATIKA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI NDIO KAULI YAKE NAIBU GAVANA DKT ATUDONYANG
Viongozi wa chama cha KANU katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamesisitiza kuwa chama hicho kingali imara katika kaunti hii.Akizungumza katika kikao kilichoandaliwa kujadili mikakati ya kukiimarisha zaidi chama hicho, […]
-
SERIKALI YA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI IMESHIRIKIANA NA KAMPUNI YA MKOPO YA APOLO ILIKUIMARISHA SHUGHULI YA KILIMO KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Wizara ya Kilimo ya kaunti hii ya Pokot Magharibi imetangaza rasmi ushirikiano na kampuni ya mkopo ya wakulima ya Apollo Agriculture ili kutatua shida za wakulima wa pokot magharibi hasa […]
-
WANAWAKE KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAMETAKA KUHUSISHWA KATIKA SHUGHULI ZOTE AMBAZO WANAUMME WANAFANYA
Wanawake kaunti ya pokot magharibi wanaomba kuhusishwa katika shughuli ambayo inaibuka katika kaunti ya pokot magharibi hii ni baada ya kuonekana kuwa wanawake wengi hawapewi nafasi ya kuongoza katika jamii […]
-
SERIKALI YA TRANSNZOIA WAMEOMBA KUKARABATI SOKO LA KITALE ILI KUWAWEZESHA AKINA MAMA KUENDELEZA SHUGHULI ZAO.
Wanawake wafanyibiashara katika kaunti ya transnzoia wameeleza haja ya uongozi wa kaunti hiyo kuwahusisha kikamilifu katika maswala ya uongoziWafanyibiashara hao akiwemo martha dulo na Dorothy chebeti wamegadhabishwa na jinsi serkali […]
Top News








