Author: Charles Adika
-
VIONGOZI WATAKIWA KUINGILIA KATI NA KUTATUA SUALA LA UTOVU WA USALAMA MIPAKANI.
Wakaazi wa kaunti ya pokot magharibi wanalalamikia wanachokitaja kama ulegevu wa viongozi wa taifa na wa kaunti zinazoathirika na ukosefu wa usalama katika kutafuta suluhu ya tatizo hilo katika bonde […]
-
VIONGOZI WAMETAKIWA KUINGILIA KATI NA KUTATUA SUALA LINALOWAKUMBA WENYEJI WA KOSIKE KULE LOROO UGANDA WANAHOFU YA KUNYAKULIWA MASHAMBA
Viongozi katika kijiji cha kosike kule LOROO , Uganda wamefanya mkutano uliopangwa na kikundi cha kanisa la katholiki almaarufu Catholic Land Desk kinachojulikana kwa kuhusika pakubwa katika kutatua maswala yanayohusu […]
Top News







