Author: Charles Adika
-
WAKULIMA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUWA NA SUBIRA MAOMBI YAO YAKISHUGHULIKIWA.
Makundi ya wakulima katika kaunti hii ya pokot magharibi yaliyotuma maombi ya kunufaika na mradi wa climate smart yametakiwa kuwa na subra wakati maafisa katika mradi huo wakishughulikia maombi yao.Akizungumza […]
-
VIONGOZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WASIKITISHWA NA HATUA YA KUFUNGWA KWA CHUO CHA KISII ENEO LA KERINGET POKOT
Aliyekuwa gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameelezea kusikitishwa na hatua ya kufungwa kwa chuo kikuu cha kisii bewa la Keringet katika kaunti hii.Akizungumza na kituo hiki […]
-
WALIMU NA WANAFUNZI KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAHAKIKISHIWA USALAMA WAO MSIMU HUU WA MITIHANI YA KITAIFA
Tatizo la usalama ambalo limekuwa likishuhudiwa katika mipaka ya kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani za Baringo, Elgeyo marakwet na Turkana litapata tu suluhu kupitia elimu.Akizungumza wakati wa […]
-
VIONGOZI WAHIMIZWA KUINGILIA KATI NA KUHAKIKISHA UKOSEFU WA MADAWA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI UNATATULIWA.
Wito umetolewa kwa idara ya afya kaunti hii ya Pokot magharibi kuhakikisha kuwa dawa za kutosha zinapatikana katika zahanati ya Otiot wadi ya Lomut ili kuwaepusha wakazi na changamoto ya […]
Top News







