Author: Charles Adika
-
MTIHANI WA DARASA LA NANE KCPE UMENGOA NANGA MAPEMA HII LEO KOTE KATIKA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Hatimaye mitihani ya kitaifa kwa darasa la nane KCPE inaanza rasmi hii leo kote nchini.Mitihani hii inafanyika baada ya kuahirishwa kutokana na mabadiliko katika kalenda ya masomo ambayo ilitokana na […]
-
WAKAAZI WA ENEO LA MIPAKANI WATAKIWA KUDUMISHA AMANI
Wakazi wa maeneo ya mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo Marakwet, Baringo na turkana wametakiwa kuzingatia amani hasa wakati huu ambapo taifa linaelekea katika […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUWACHUNGA WATOTO WAO MSIMU HUU WA LIKIZO NDEFU WAKIWA NYUMBANI KWA ZAIDI YA MAJUMA SABA
Shule zikiwa zimefungwa rasmi kwa ajili ya likizo ya muhula wa tatu, wito umetolewa kwa wazazi na jamii kwa jumla kuwa makini na wanafunzi na kuhakikisha kuwa wanasalia salama ikizingatiwa […]
-
VIONGOZI KATIKA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUINUSURU HOSPITALI YA KAPENGURIA
Uongozi wa kaunti hii ya Pokot magharibi umeendelea kusutwa vikali kutokana na huduma duni katika hospitali ya Kapenguria uhaba wa vifaa muhimu ukitajwa kuwa chanzo cha masaibu ya wagonjwa.Changamoto za […]
Top News









