Author: Charles Adika
-
WATAHINIWA WOTE KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI NA MIPAKANI PA KAUNTI YA ELGEYO MARAKWET NA TURKANA WAMEHAKIKISHIWA USALAMA WAO WANAPOUFANYA MTIHANI WAO
Mtihani wa kitaifa kwa darasa la nane [K.C.P.E] unaingia leo siku ya pili baada ya kuanza rasmi hiyo jana huku usalama ukiwa umeimarishwa maeneo mbali mbali ya kaunti hii ya […]
-
MAKASISI KAUNTI YA TRANSNZOIA WAOMBWA KUTOJIHUSISHA NA MASWALA YA SIASA NA BADALA YAKE KUWA MFANO MWEMA
Wito umetolewa kwa kanisa kuonyesha mfano mwema kwa kujiepusha na siasa za ukabila siasa za tofauti wa vyama vya kisiasa.Akihutubu kwenye Kanisa la ACK St Luke’s mjini Kitale Ole Ndiema […]
-
BAADHI YA VIONGOZI KAUNTI YA TRANSNZOIA WAMEWATAKA WENZAO KUKOMA KUKASHIFU UTENDAKAZI WA GAVANA ANAYEONDOKA PATRICK KHAEMBA
Wito umetolewa kwa wanasiasa wanaokosoa uongozi wa Gavana Patrick Khaemba katika mikutano zao za kisiasa badala ya kuuza sera zao kwa wananchi watakao wapigia kura.Wakiongozwa na Mwakilishi wadi ya Tuwani […]
Top News






