Author: Charles Adika
-
WAKAAZI WA SABAOTI WAOMBWA KUJIUNGA NA MRENGO WA AZIMIO LA UMOJA ILIKUWA KATIKA SERIKALI IJAYO
Kiongozi wa kamati ya jamii ya sabaoti ambaye pia alikuwa naibu wa meya mji wa kitale pius arap kauka amepuzilia mbali mrengo wa Kenya kwanza ambao unaongozwa na naibu wa […]
-
WATAHINIWA WOTE KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI NA MIPAKANI PA KAUNTI YA ELGEYO MARAKWET NA TURKANA WAMEHAKIKISHIWA USALAMA WAO WANAPOUFANYA MTIHANI WAO
Mtihani wa kitaifa kwa darasa la nane [K.C.P.E] unaingia leo siku ya pili baada ya kuanza rasmi hiyo jana huku usalama ukiwa umeimarishwa maeneo mbali mbali ya kaunti hii ya […]
-
MAKASISI KAUNTI YA TRANSNZOIA WAOMBWA KUTOJIHUSISHA NA MASWALA YA SIASA NA BADALA YAKE KUWA MFANO MWEMA
Wito umetolewa kwa kanisa kuonyesha mfano mwema kwa kujiepusha na siasa za ukabila siasa za tofauti wa vyama vya kisiasa.Akihutubu kwenye Kanisa la ACK St Luke’s mjini Kitale Ole Ndiema […]
Top News






