Author: Charles Adika
-
BAADHI YA VIONGOZI KAUNTI YA TRANSNZOIA WAMEWATAKA WENZAO KUKOMA KUKASHIFU UTENDAKAZI WA GAVANA ANAYEONDOKA PATRICK KHAEMBA
Wito umetolewa kwa wanasiasa wanaokosoa uongozi wa Gavana Patrick Khaemba katika mikutano zao za kisiasa badala ya kuuza sera zao kwa wananchi watakao wapigia kura.Wakiongozwa na Mwakilishi wadi ya Tuwani […]
-
MTIHANI WA DARASA LA NANE KCPE UMENGOA NANGA MAPEMA HII LEO KOTE KATIKA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Hatimaye mitihani ya kitaifa kwa darasa la nane KCPE inaanza rasmi hii leo kote nchini.Mitihani hii inafanyika baada ya kuahirishwa kutokana na mabadiliko katika kalenda ya masomo ambayo ilitokana na […]
-
WAKAAZI WA ENEO LA MIPAKANI WATAKIWA KUDUMISHA AMANI
Wakazi wa maeneo ya mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo Marakwet, Baringo na turkana wametakiwa kuzingatia amani hasa wakati huu ambapo taifa linaelekea katika […]
Top News








