Author: Charles Adika
-
RAMANI YA MAHAKAMA KUU YA KAPENGURIA YATAJWA KUWA BORA.
Msajili mkuu wa mahakama humu nchini, hakimu Ann Amadi, ameisifia ramani ya ujenzi wa mahakama kuu ya Kapenguria kaunti hii ya Pokot magharibi kwa kuwa na vitengo tofauti ambavyo vitashughulikia […]
-
MAANDALIZI YA MITIHANI YA KITAIFA YAKAMILIKA POKOT MAGHARIBI.
Wito umetolewa kwa wasimamizi wa vituo mbali mbali vya mitihani katika kaunti hii ya Pokot magharibi kuwa makini na kutoruhusu hali yoyote isiyo ya kawaida ikiwemo udanganyifu kushuhudiwa wakati wa […]
-
KVDA YALENGA KUIMARISHA UZALISHAJI WA ASALI KERIO VALLEY.
Mamlaka ya ustawishaji wa maendeleo kwenye bonde la kerio KVDA inashirikiana na idara ya mifugo katika wizara ya kilimo kuimarisha uzalishaji wa asali humu nchini.Kwa mujibu wa meneja mkurugenzi wa […]
-
KENYA SEED YAHAKIKISHIA WATEJA WAKE MBEGU ZA KUTOSHA MSIMU WA UPANZI.
Huku msimu wa upanzi ukitazamiwa kuanza maeneo mbalimbali humu nchini Kampuni ya uzalishaji mbegu nchini Kenya Seed imewahakikishia wakulima kuwa kuna mbegu za kutosha kwa mahitaji ya wakulima humu nchini […]
Top News









