Author: Charles Adika
-
VIONGOZI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA IDARA ZA USALAMA KUKABILI UTOVU WA USALAMA BONDE LA KERIO.
Wito umetolewa kwa viongozi wote kutoka kaunti zinazopatikana katika bonde la Kerio kushirikiana na vitengo vya usalama ili kukabili utovu wa usalama eneo hili ambao umepelekea wakazi wengi kupoteza maisha […]
-
VIONGOZI BONDE LA UFA WAPUUZILIA MBALI RIPOTI YA NCIC KUHUSU HALI YA USALAMA ENEO HILO.
Gavana wa kaunti ya Nandi Stephen Sang amekosoa ripoti ya tume ya uwiano na utangamano wa kitaifa NCIC iliyotaja kaunti 23 kuwa maeneo ambayo yako katika hatari ya kukumbwa na […]
-
-
SPIKA WA BUNGE LA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI AWASILISHA MAKARATASI YAKE KATIKA OFISI YA IEBC
Mwaniaji wa kiti cha mwakilishi kina mama katika kaunti hii ya Pokot magharibi ambaye ni spika wa bunge la kaunti hii Catherine Mukenyang ameidhinishwa rasmi kuwania kiti hicho katika uchaguzi […]
-
MWANAKANDARASI ANAYE WEKA LAMI BARABARA YA LESOS KOLONGOLO ASHUTUMIWA NA WAKAAZI KWA KAZI DUNI
Wakaazi wa eneobunge la kwanza wamepaza sauti zao kulalamikia hatua ya Mwanakandarasi kutia Lami Barabara ya Lesos Namanjalala Kolongolo ambayo haiwezi kutumika na malori yanayobeba mizigo yenye uzani unazidi tani […]
Top News









