Author: Charles Adika
-
MGOMBEA UWAKILISHI WA LWANDANYI APUUZA MADAI YA KUJIONDOA KINYANG’ANYIRONI.
Mgombea kiti cha mwakilishi wadi ya Lwandanyi katika kaunti ya Bungoma Levy Nabangi amepuuzilia mbali uvumi ambao unaenezwa na baadhi ya wanasiasa eneo hilo kuwa amejiondoa katika kinyang’anyiro hicho na […]
-
WAKUU WA VYUO MAGHARIBI YA NCHI WAITAKA SERIKALI KUTOA FEDHA KWA WAKATI.
Walimu wakuu wanaosimamia vyuo vikuu na vile vya anuwai katika eneo la magharibi ya nchi wameomba serikali kutoa fedha za awamu ya nne kwa wakati unaofaa ili kusaidia matayarisho ya […]
-
MADAI YA LONYANGAPUO YA KUIMARIKA SEKTA YA ELIMU CHINI YA UTAWALA WAKE YAPUUZILIWA MBALI NA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI.
Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamepuuzilia mbali kauli ya gavana John Lonyangapuyo kwamba sekta ya elimu katika kaunti hii imeimarika zaidi chini ya uongozi […]
-
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WALAANI KUTEKETEZWA MABWENI YA SHULE YA MSINGI YA TARTAR.
Viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelaani vikali kisa cha kuteketezwa mabweni mawili katika shule ya msingi ya Tartar.Wakizungumza baada ya kuzuru shule hiyo viongozi hao wakiongozwa na seneta […]
Top News










